SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Unaijua nguvu ya HSC wewe?Unamanisha mamlaka za juu zina njaa zimechukua mlungula wa waarabu?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua nguvu ya HSC wewe?Unamanisha mamlaka za juu zina njaa zimechukua mlungula wa waarabu?
Serikali haiwezi kuingilia TFFNaam Takadini alicheza kama pele kuchelewesha mchakato wa kumpata afisa habari wakati huohuo mamlaka za juu zikifanya kazi yake kuamuru afunguliwe haraka sana.
Sasa ni wazi Sope takadini ndiye anaenda kuwa afisa habari wa yanga kwani vile vigezo vilivyoanishwa na team hiyo anavyo vyote tena kazidisha maana ni msomi wa degree mbili.
Karia ndiyo ujue wewe ni mtoto mdogo tu, last time ulichimbwa mkwara hadharani kwa sasa kitakachofata ni kuchapwa vibao na sope takadini LIBABE LILILOSHINDIKANA NCHI HII.
View attachment 2362910