Mamlaka zijitahidi kuzuia wananchi wasigeuke kuwa " Wananchi wenye hasira Kali"


Serikali kama haisadii wananchi kwa chochote kunakuwa hakuna haja ya hiyo serikali. Wizi wa Uchaguzi wizi wa rasilimali, teuzi za hovyo, inflation, TRA mbovu, Kodi lukuki.
 
Serikali kama haisadii wananchi kwa chochote kunakuwa hakuna haja ya hiyo serikali. Wizi wa Uchaguzi wizi wa rasilimali, teuzi za hovyo, inflation, TRA mbovu, Kodi lukuki.
Kama wamelala waamke.

Kwa yanayoendelea hayana faida yoyote Kwa mustakabali wa usitawi wa Nchi yetu.
 
Kama wamelala waamke.

Kwa yanayoendelea hayana faida yoyote Kwa mustakabali wa usitawi wa Nchi yetu.
Wengi wananchi wa kawaida Tanzania hata Duniani ni wajinga sana. Ukoloni uliwagawanya, Dola ya sasa Duniani inawaganya , viongozi wa Tanzania wanawagawanya.

Wako radhi wapigane na jirani yao kuhusu dini, chama, kabila. Huwa hawasikilizi sera, ukweli, tafiti.

Nchi zilizoendelea wamevuka hizo level. Wanaangalia record yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…