Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Tabu zetu zimetunyanyasa kwa kiwango kikubwa kupelekea kuwa wahanga wa watu wanaotutumia sisi kama fursa na wale wanaomtukuza shetani wao kupitia huduma wanazotufanyia.
Kwanini wanajiita manabii? ina maana miaka ya 2000 kurudi nyuma hawakuwepo au hawakutosheka kujiita "mchungaji". Jibu rahisi ni kuwa wanajiita hivi ili wawe marketable zaidi.
Ukweli ni kuwa wachungaji wengi wa kisasa ni "WAGANGA PRO MAX".
Sipatii picha miujiza yao inaachaga alama zipi katika roho zetu.
Mamlaka ya kulitamka jina la Yesu Kristo wanayo kwa maana hata biblia imeandika wataweza kutumia jina la Yesu wakiwa wanafanya huduma zao feki. Hii imepelekea wao kuwa wa ushawishi mkubwa sana katika jamii.
Mimi si mkamilifu wala mtakatifu ila mtu yoyote anefanya yafuatayo basi ni dalili halisia ya nabii feki.
1: Kulipa kiasi flani ndio ili upate huduma yake ana kwa ana
2: Kuuza maji, chumvi, vitambaa, mafuta.
3: Hana mafundisho ya kukuza watu kiroho bali ni stori tu za miujiza na kutetea muujiza wake.
4: Anang'ang'ania watu maarufu kanisani kwake.
5: Anajiita majina kama nabii, mtume, mwana wa Mungu.
6: Anatukuzwa yeye kanisani kwake kuliko Mungu.
7: Anakupangia sadaka ya kutoa huku akipenda kusema waliotoa sadaka kubwa ndio waliopata muujiza mkuu.
8: Hawakufundishi kujisamia kimaombi kwa maana wa wanajua utayapata majibu yako so wana market nguvu zao kukuonesha kuwa bila wao hautafika popote.
Kwanini wanajiita manabii? ina maana miaka ya 2000 kurudi nyuma hawakuwepo au hawakutosheka kujiita "mchungaji". Jibu rahisi ni kuwa wanajiita hivi ili wawe marketable zaidi.
Ukweli ni kuwa wachungaji wengi wa kisasa ni "WAGANGA PRO MAX".
Sipatii picha miujiza yao inaachaga alama zipi katika roho zetu.
Mamlaka ya kulitamka jina la Yesu Kristo wanayo kwa maana hata biblia imeandika wataweza kutumia jina la Yesu wakiwa wanafanya huduma zao feki. Hii imepelekea wao kuwa wa ushawishi mkubwa sana katika jamii.
Mimi si mkamilifu wala mtakatifu ila mtu yoyote anefanya yafuatayo basi ni dalili halisia ya nabii feki.
1: Kulipa kiasi flani ndio ili upate huduma yake ana kwa ana
2: Kuuza maji, chumvi, vitambaa, mafuta.
3: Hana mafundisho ya kukuza watu kiroho bali ni stori tu za miujiza na kutetea muujiza wake.
4: Anang'ang'ania watu maarufu kanisani kwake.
5: Anajiita majina kama nabii, mtume, mwana wa Mungu.
6: Anatukuzwa yeye kanisani kwake kuliko Mungu.
7: Anakupangia sadaka ya kutoa huku akipenda kusema waliotoa sadaka kubwa ndio waliopata muujiza mkuu.
8: Hawakufundishi kujisamia kimaombi kwa maana wa wanajua utayapata majibu yako so wana market nguvu zao kukuonesha kuwa bila wao hautafika popote.