Manabii wanapingwa sana ila alichokifanya nabii Clear Malisa ni kitendo cha kishujaa.

Manabii wanapingwa sana ila alichokifanya nabii Clear Malisa ni kitendo cha kishujaa.

Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Manabii au wavuta bangi..??
 
Muathirika wa mafundisho potofu huyu hapa.

Hata biblia hujui mnabugizwa matango pori tu.

Kuna tofauti kubwa ya mtu kuitwa nabii na unabii.
1. Unaweza kutoa unabii na usiwe nabii.

Rejea Sauli alipotoka kupakwa mafuta na Samweli, alipofika njiani, alikutana na wana wa manabii...akatabiri lakini hakuwa nabii.

2. Kibiblia ili uitwe nabii sio mafundisho, sio kutabiri wala sio kuponya bali ni suala la muda...utabiri mambo na yatokee..
MALISA WAKO ametabiri nini kimkoa, kitaifa au kijamii kikatukia?

3. Kuna kitu kinaitwa neno la maarifa, kinaweza kufanana na unabii lkn sio.

Hii ikoje?
Inatokea unapokuwa unahubiri au kuombea...utahisi hali ya mtu mwenye tatizo...mfano kuumwa kichwa sana upande mmoja.

Ndio maana kanisanisani utasikia mchungaji anasema...kuna mtu anaumwa na kichwa upande wa kushoto na kweli anatokea.

Huu sio unabii bali neno la maarifa.

Huwezi kunielewa ewe kipofu wa rohoni.

Mtatumikishwa na manabii fake hadi mchakae.
Note: utajiri haupatikani kwa maombi wala unabii...ingekuwa hivyo tungekuwa na mabilionea Tanzania.

binti kiziwi
 
Huu ni wakati wa sisi ngozi nyeusi kutoa manabii, mitume , makuhani , matowashi .

Sio kila kitu mashariki ya kati , inabidi tupate waandishi watakao zunguka na hawa manabii kila wanachokisema waandike .

Baadae tuje tupate waraka wa gwaj boy kwa wanyakyusa, wahaya na nk
 
Utakuwa mmoja wa manabii hao. Ishu inakuja ni kwamba nyie manabii mna utata mwingi kuanzia maisha yenu, mitindo yenu ya uvaaji, kujiremba miili yenu mko nje na matarajio ya wengi wanaowatazama. Nabii gani anakuwa na mionekano ya kihuni? Mbali na mionekano ya kihuni kuna kuuzia maji, mafuta na chochote cha kuwasadikisha watu ni cha upako kwa fedha kitu ambacho kinapingana na maandiko ya biblia. Mtawadanganya sana wasiosoma biblia
WAnakuja na vitisho na viufunuo fake.
 
Mtawatambua kwa matendo yao
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Nabii Bongo,acha uhuni kutaka kuwaibia wajinga KENGE wewe,Nabii wa Matako
 
Nikiona shosti anaamini huu ujinga na urafiki wetu unaishiaga hapo.

Kuna mama nilikutana naye njiani, yeye yuko kwa mguu na binti yake wanarudi nyumbani saa moja jioni wametoka kwa Mwamposa. Hana nauli na hela ya mboga aliyopaswa kununulia kwa ajili ya chakula cha jioni cha familia yake (aliondoka kwa kuaga anaenda sokoni) kaitoa sadaka. Unamsaidiaje mama kama huyu?

Wanafanya mind control halafu wanaanza kuhamisha kipato cha familia kupitia mjinga hata mmoja tu atakayefall victim. Mimi ni Mkristo lakini wa dhehebu linalojitambua na hatuungi mkono huu ujinga.
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.


Upumbavu Kabisa, kati ya mambo ya Kipumbavu ni watu kuendekeza mambo ya Kijinga ya ushenzy ya unabii fake na kuacha swala la msingi la kuishi maisha matakatifu utakatifu.....

Speaking of proffesional, high level of Bullshit, here u go!
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Kitu gani kakifanya,kitaje.
Kenge wewe
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Nabii kazi yake zamani ilikuwa kutoa habari za mambo yatakayotokea baadae ili watu wajiandae mapema au kuwaambia watu maono aliyofunuliwa na Mungu iwe maonyo au n.k

Ila kwa sasa ....
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Ukombozi wa fikra ni kikwazo kikuu Africa.
 
Muathirika wa mafundisho potofu huyu hapa.

Hata biblia hujui mnabugizwa matango pori tu.

Kuna tofauti kubwa ya mtu kuitwa nabii na unabii.
1. Unaweza kutoa unabii na usiwe nabii.

Rejea Sauli alipotoka kupakwa mafuta na Samweli, alipofika njiani, alikutana na wana wa manabii...akatabiri lakini hakuwa nabii.

2. Kibiblia ili uitwe nabii sio mafundisho, sio kutabiri wala sio kuponya bali ni suala la muda...utabiri mambo na yatokee..
MALISA WAKO ametabiri nini kimkoa, kitaifa au kijamii kikatukia?

3. Kuna kitu kinaitwa neno la maarifa, kinaweza kufanana na unabii lkn sio.

Hii ikoje?
Inatokea unapokuwa unahubiri au kuombea...utahisi hali ya mtu mwenye tatizo...mfano kuumwa kichwa sana upande mmoja.

Ndio maana kanisanisani utasikia mchungaji anasema...kuna mtu anaumwa na kichwa upande wa kushoto na kweli anatokea.

Huu sio unabii bali neno la maarifa.

Huwezi kunielewa ewe kipofu wa rohoni.

Mtatumikishwa na manabii fake hadi mchakae.
Note: utajiri haupatikani kwa maombi wala unabii...ingekuwa hivyo tungekuwa na mabilionea Tanzania.

binti kiziwi
Kweli mkuu,

Mimi toka nikiwa mdogo nilikua na kipaji cha kuona mambo nikisema jambo huwa linakuwa.

Ndoto pia, nikiota , Inakuja hivyo hivyo.

Ila sijawahi jiita mtabiri wala nabii.

But nikikwambia jambo huwa ndio lenyewe ni karama tu Mungu anatugawia lakini hatupaswi kujivunia na kuanza kuvimba nazo.

Inapaswa kumpa Mungu utukufu yeye pekee.
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Lengo la ujio wao ni nini Mkuu?
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaidhia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.

Upupu mtupu hapa
 
Back
Top Bottom