Manabii wanapingwa sana ila alichokifanya nabii Clear Malisa ni kitendo cha kishujaa.

Manabii wanapingwa sana ila alichokifanya nabii Clear Malisa ni kitendo cha kishujaa.

Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaishia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Matapeli wanateteana....tushawagundua.
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaishia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.

Sawa nabii Lovy tumekusikia. Ila siku nyingine lipia tangazo.
 
Mimi ni Christian wakristu wengi wamesoma kuliko Waislam. Lakini wakristo wengi ni wajinga kuliko waislam. Kweli anakuja binadamu mwenzio (Malisa) anakwambia amemmfufua mama yake mara tatu. Na mijinga ipo humo humo kanisani inaamini!?

Nani aliamini?. Aliyeamini ni kanisa la Malisa au Wakristo wote?. Usipende generalization.
 
Inashangaza sana kuona hofu yako inapogeuka kuwa mtaji kwa mtu mwingine.
 
Kwa hiyo mkuu punde tutakua na hekau tuwaalike wayudi watemane na yerusalem yao wawaachie wapalestina na hamasi yao wajimwae mwae.kweli hii kali na kiboko yake ila na wapestina nao wakitaka bongo iwe pia yerusalemu yao ya msikiti wa al aqsa itakuaje
Hapo sasa vita ndo tuta inunua Wa Tz
 
Kuongozwa na hisia na pendeleo binafsi ni janga jingine, trust me Mungu hayupo tulivyo Mwizi msalabani alionesha ushahidi tosha.
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaishia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Inaonekana umesoma lkn elimu Yako hajakusaidia Kwa lolote.
Au basi wewe ni maliza mwenyewe tapeli kama tapeli wengine.

Uzi lako linatia kichefuchefu sijasoma Hadi mwisho uharo mtupu.
 
Unaweza kuonyesha huo ushujaa wake mkuu? Kumfufua mama yake mara tatu ama? Tena wakati mwingine mamake anafariki akiwa peke yake halafu anampigia simu mtoto wake anakuja kumfufua ama?
 
Mimi ni Christian wakristu wengi wamesoma kuliko Waislam. Lakini wakristo wengi ni wajinga kuliko waislam. Kweli anakuja binadamu mwenzio (Malisa) anakwambia amemmfufua mama yake mara tatu. Na mijinga ipo humo humo kanisani inaamini!?
Kuna baadhi ya watu hata unashindwa kuelewa uwezo wao wa kufikiri upo vipi.

Na hakuna biashara unayolipa Tanzania kama biashara ya injili ya miujiza. Ujinga ni mtaji.
 
Back
Top Bottom