Manara alikuwa jipu Simba, ukweli umejitenga

Manara alikuwa jipu Simba, ukweli umejitenga

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Tulijiuliza sana kwanini Yanga wanamtetea Manara humu? Mtu avunje miiko ya kazi halafu kundi la wahuni linamtetea.

Uongozi wa Simba sio wajinga, leo manara anatangaza tamasha la Yanga kuonyesha hadharani usaliti aliokuwa anafanya. Unajua siku zote ukisingiziwa kama huhusiki haikuumi, Manara alilia machozi kama mwanamke mpya aliyeachwa kwenye mapenzi. Leo anatangaza tamasha la wananchi.

Sasa hivi Yanga wanajisifu kumpokea siku ya mwananchi, uongozi wa Simba uko imara kumjua anayehujumu, mnafki na mzalendo.

Big up management ya Simba.

Wakuu hii ilikuwa thread kabla na yametia.
 
Bado inawauma tu mpaka leo jamaa kuondoka, kama ukiachwa achikeni basii siio mnamkumbukakumbuka tu, sioni la maana unaloandika ni upupu tu
Mkuu Utopolo mnafanya Mambo kama wazee wa analogy, kila mwaka mnafanya kama mnakomoa Simba, Senzo mlimchukua mkasema ana mafaili sembuse huyu mwajuma ndala ndefu alikuwa analala kwenye makochi sebuleni.
 
Tulijiuliza sana kwanini Yanga wanamtetea Manara humu? Mtu avunje miiko ya kazi halafu kundi la wahuni linamtetea.

Uongozi wa Simba sio wajinga, Leo manara anatangaza tamasha la Yanga kuonyesha hadharani usaliti aliokuwa anafanya . Unajua siku zote ukisingiziwa kama huhusiki haikuumi, Manara alilia machozi kama mwanamke mpya aliyeachwa kwenye mapenzi. Leo anatangaza tamasha la wananchi.

Sasa hivi Yanga wanajisifu kumpokea siku ya mwananchi,uongozi wa Simba uko imara kumjua anayehujumu ,mnafki na mzalendo.

Big up management ya Simba .
Mkuu hapo haji manara anachofanya ni kuhamasisha watu wanunue ving'amuzi na kulipia vifurushi.

Au unasahau kua haji manara ni ambassador wa Azam?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom