pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Nimemuona insta akimposti kofii olomide akitangaza yangadei, kibwagizo cha hao ndio wananini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi tena Yuko nje ya mfumoTulichowafanya ni kuwakera tu,manara hajawahi kuwasaliti mikia la sivyo msingepata mafanikio yote yale kwa miaka 4,sasa hivi sasa ndio atawasaliti akiwa nje ya mikia maana Yanga mwaka huu atuachi kitu,karibu Yanga afrika manara tuje kuwakera mikia [emoji2957][emoji1787]
Sijasahau ni balozi wa GSMMkuu hapo haji manara anachofanya ni kuhamasisha watu wanunue ving'amuzi na kulipia vifurushi.
Au unasahau kua haji manara ni ambassador wa Azam?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni watu wapambanie familia zao,watu wanatafuta pesa,heshimuni maamuzi ya mtu,ile ni kazi kama kazi yako.Hisia kando.Atatoka Yanga ataenda Azam yote ni katika kutafuta mkate wa kila siku.Siku za mnafki huwa ni chache sana hatimae mnafki kajitanabahisha yeye mwenyewe.
Ccm ndiyo iliharibu akili ya Manara, the guy was so brilliant and faithful to the club.Tulijiuliza sana kwanini Yanga wanamtetea Manara humu? Mtu avunje miiko ya kazi halafu kundi la wahuni linamtetea.
Uongozi wa Simba sio wajinga, Leo manara anatangaza tamasha la Yanga kuonyesha hadharani usaliti aliokuwa anafanya . Unajua siku zote ukisingiziwa kama huhusiki haikuumi, Manara alilia machozi kama mwanamke mpya aliyeachwa kwenye mapenzi. Leo anatangaza tamasha la wananchi.
Sasa hivi Yanga wanajisifu kumpokea siku ya mwananchi,uongozi wa Simba uko imara kumjua anayehujumu ,mnafki na mzalendo.
Big up management ya Simba .
Yaani wakeshe wakiomba hilo,yakijirudia kama mwaka huu watatia akiliAombee Young ,wachukue ubingwa lasivyo tutamsahau....
Safi sana,Haji anapambania maslahi ya familia yake ndo maana mpaka likua akijipeleka kambi ya Yanga kigamboni kuvujisha mipango ya Simba wakati akiwa msemaji wa Simba,pesa za gsm ndo zilimpeleka huko kuuza siri za Simba akuna kingine.Acheni watu wapambanie familia zao,watu wanatafuta pesa,heshimuni maamuzi ya mtu,ile ni kazi kama kazi yako.Hisia kando.Atatoka Yanga ataenda Azam yote ni katika kutafuta mkate wa kila siku.
Mkuu huu uzi niliweka kabla ya mda naona yametimia,Hawa wanategemea manara sisi tunaangalia uwanjani,najua atakuja kuchamba but Simba wameshatoka hizo levelSafi sana,Haji anapambania maslahi ya familia yake ndo maana mpaka likua akijipeleka kambi ya Yanga kigamboni kuvujisha mipango ya Simba wakati akiwa msemaji wa Simba,pesa za gsm ndo zilimpeleka huko kuuza siri za Simba akuna kingine.
sasa kadhihirisha usaliti wake wa muda mrefu akiwa Simba.namtakia kila heri kwenye kupiga pesa za huko Yanga alipokwenda.
Talaka ya hasira na DDC Mlimani Park OrchestraBado inawauma tu mpaka leo jamaa kuondoka, kama ukiachwa achikeni basii siio mnamkumbukakumbuka tu, sioni la maana unaloandika ni upupu tu
Vip kigoma tulipowatembezea kichapo alikuwepoSimba bila Manara ni utopolo tu[emoji28]