Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaemkumbuka tunaweka majibu kwenye maswali yaliyoachwa wazi..Bado inawauma tu mpaka leo jamaa kuondoka, kama ukiachwa achikeni basii siio mnamkumbukakumbuka tu, sioni la maana unaloandika ni upupu tu
Eti wanamtambulisha. Lol.Sasa kama kalipwa atangaze kuna ubaya gani? Mlitaka awe ombaomba ilj mmcheke 🤣
Mtani kama nakuona ulivyofurahi kumpata manaraEti wanamtambulisha. Lol.
Sio jipu kweli hili? 🤔
Nikweli, ameshavaa jezi tayariEti wanamtambulisha. Lol.
Sio jipu kweli hili? 🤔
Huezi amini Mtani bado namuona kama bado ni mtu wa 5imba tu aliyevaa jezi ya Yanga.Mtani kama nakuona ulivyofurahi kumpata manara
Daah!!Nikweli, ameshavaa jezi tayari
Kesho atakuwepo Mlimani City kuzindua jeziDaah!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mtajijua na mtu wenu huko.Huezi amini bado namuona kama bado ni mtu wa 5imba tu aliyevaa jezi ya Yanga.
Ndio nimeona hapa.Kesho atakuwepo Mlimani City kuzindua jezi
😀😀[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mtajijua na mtu wenu huko.
Aombee Young ,wachukue ubingwa lasivyo tutamsahau....Tumepigwa pale Mtani.
Jiandaeni kupata siri zetu. [emoji3][emoji3]