Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kabisaa.Aombee Young ,wachukue ubingwa lasivyo tutamsahau....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaa.Aombee Young ,wachukue ubingwa lasivyo tutamsahau....
Big mistake yanga wamefanyaEti wanamtambulisha. Lol.
Sio jipu kweli hili? 🤔
Tulichowafanya ni kuwakera tu,manara hajawahi kuwasaliti mikia la sivyo msingepata mafanikio yote yale kwa miaka 4,sasa hivi sasa ndio atawasaliti akiwa nje ya mikia maana Yanga mwaka huu atuachi kitu,karibu Yanga afrika manara tuje kuwakera mikia 🤪🤣Tulijiuliza sana kwanini Yanga wanamtetea Manara humu? Mtu avunje miiko ya kazi halafu kundi la wahuni linamtetea.
Uongozi wa Simba sio wajinga, Leo manara anatangaza tamasha la Yanga kuonyesha hadharani usaliti aliokuwa anafanya . Unajua siku zote ukisingiziwa kama huhusiki haikuumi, Manara alilia machozi kama mwanamke mpya aliyeachwa kwenye mapenzi. Leo anatangaza tamasha la wananchi.
Sasa hivi Yanga wanajisifu kumpokea siku ya mwananchi,uongozi wa Simba uko imara kumjua anayehujumu ,mnafki na mzalendo.
Big up management ya Simba .
Babra mwenyewe tunamnunua soon,msimu huu tumedhamiria au sio Shadeeya 🤣🤪Babra ajengewe Sanamu posta
[emoji4][emoji4][emoji4]Kuna tofauti KUBWA Sana Kati ya Hawa wanawake wawili[emoji116]Hapo ndo utaamini wanawake wasio na chura, wamebarikiwa sana KICHWANI.
Babra Ni geniuos[emoji4]
Fanyeni vurugu zote ila chondechonde kwa Konde boy msitufanyie umafia mtani.Tulichowafanya ni kuwakera tu,manara hajawahi kuwasaliti mikia la sivyo msingepata mafanikio yote yale kwa miaka 4,sasa hivi sasa ndio atawasaliti akiwa nje ya mikia maana Yanga mwaka huu atuachi kitu,karibu Yanga afrika manara tuje kuwakera mikia [emoji2957][emoji1787]
Simba bila Manara ni utopolo tu😅Ni wakati sasa wana Simba tuachane na hekaya za Manara.....tuelekeze nguvu zetu kwenye timu yetu.....
SIMBA NGUVU MOJA......
Watani huyo kaja kuwavuluga tuuSimba bila Manara ni utopolo tu😅
Ngoja tuwakere mikia 🐒 kidogo swahibaSwahiba unataka Penison azimie. 🤣🤣
Hawa jamaa hawajui how manara was kwao,we subiri tu wataijua nguvu ya manara muda si mrefuSimba bila Manara ni utopolo tu😅
Eeh soon wataona Gap! Sahizi bogi la wale shabiki mandazi tutahamia Yanga na utashangaa Yanga inaanza kufanikiwa kwa zile hamasa😅Hawa jamaa hawajui how manara was kwao,we subiri tu wataijua nguvu ya manara muda si mrefu
Konde tunawatisha tu,ondoeni shakaFanyeni vurugu zote ila chondechonde kwa Konde boy msitufanyie umafia mtani.
Siku na wanigeria kwa mkapa patajaa pale na wanigeria watavurugikiwa na lile nyomi watapigwa hata 5 paleEeh soon wataona Gap! Sahizi bogi la wale shabiki mandazi tutahamia Yanga na utashangaa Yanga inaanza kufanikiwa kwa zile hamasa😅
Hayo ni ya kutegemea kabisaSiku na wanigeria kwa mkapa patajaa pale na wanigeria watavurugikiwa na lile nyomi watapigwa hata 5 pale