Manara alikuwa jipu Simba, ukweli umejitenga

Manara alikuwa jipu Simba, ukweli umejitenga

Tulijiuliza sana kwanini Yanga wanamtetea Manara humu? Mtu avunje miiko ya kazi halafu kundi la wahuni linamtetea.

Uongozi wa Simba sio wajinga, Leo manara anatangaza tamasha la Yanga kuonyesha hadharani usaliti aliokuwa anafanya . Unajua siku zote ukisingiziwa kama huhusiki haikuumi, Manara alilia machozi kama mwanamke mpya aliyeachwa kwenye mapenzi. Leo anatangaza tamasha la wananchi.

Sasa hivi Yanga wanajisifu kumpokea siku ya mwananchi,uongozi wa Simba uko imara kumjua anayehujumu ,mnafki na mzalendo.

Big up management ya Simba .
Tulichowafanya ni kuwakera tu,manara hajawahi kuwasaliti mikia la sivyo msingepata mafanikio yote yale kwa miaka 4,sasa hivi sasa ndio atawasaliti akiwa nje ya mikia maana Yanga mwaka huu atuachi kitu,karibu Yanga afrika manara tuje kuwakera mikia 🤪🤣
 
Hapo ndo utaamini wanawake wasio na chura, wamebarikiwa sana KICHWANI.

Babra Ni geniuos[emoji4]
[emoji4][emoji4][emoji4]Kuna tofauti KUBWA Sana Kati ya Hawa wanawake wawili[emoji116]
images-358.jpg
images-359.jpg
 
Tulichowafanya ni kuwakera tu,manara hajawahi kuwasaliti mikia la sivyo msingepata mafanikio yote yale kwa miaka 4,sasa hivi sasa ndio atawasaliti akiwa nje ya mikia maana Yanga mwaka huu atuachi kitu,karibu Yanga afrika manara tuje kuwakera mikia [emoji2957][emoji1787]
Fanyeni vurugu zote ila chondechonde kwa Konde boy msitufanyie umafia mtani.
 
Eeh soon wataona Gap! Sahizi bogi la wale shabiki mandazi tutahamia Yanga na utashangaa Yanga inaanza kufanikiwa kwa zile hamasa😅
Siku na wanigeria kwa mkapa patajaa pale na wanigeria watavurugikiwa na lile nyomi watapigwa hata 5 pale
 
Back
Top Bottom