Manara aomba msamaha kwa dharau alizowafanyia Magereza

Manara aomba msamaha kwa dharau alizowafanyia Magereza


View: https://youtu.be/yb-hC6suofc?si=kI9uE3IMw8NYkp_c

Huyu wana mchekea wangemchukulia sheria.

Kuwa albino isiwe sababu ya yeye kutukana watu kwa kivuli cha ulemavu yeye sio albino wa kwaza

Pia Soma: Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?

Heri yetu Simba tulimfukuza maana hatuwezi kukaa na watu wasio na akili kwa mujibu wake yeye mwenyewe na ndio maana yupo kwa wenzie isipokuwa Mzee Kikwete na Mzee Manara!
 
Back
Top Bottom