Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awafanyie hivyo hata JKT tu, bila kujali yuko sahihiManara yupo sahihi
Kwanini askari Magereza wanaleta ubabe kwenye michezo
Au waanzishe ligi zao za Magereza
Mfano Butimba icheze na Ukonga
Ni askari magerezaNaona mashabiki wa Simba wanachangia kwa hisia sana😂😂😂
Nao wasimfokeeAwafanyie hivyo hata JKT tu, bila kujali yuko sahihi
View: https://youtu.be/yb-hC6suofc?si=kI9uE3IMw8NYkp_c
Huyu wana mchekea wangemchukulia sheria.
Kuwa albino isiwe sababu ya yeye kutukana watu kwa kivuli cha ulemavu yeye sio albino wa kwaza
Pia Soma: Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?
Kwahy unaona ni sawa kapaki gari mbele ya gari unaambiwa pishs unasema mpaka umalize mahojiano kweliManara yuko sahihi,wewe huwezi ukafoka foka tu hovyo kisa wewe askari.
Mie ningekua Manara ningemuongezea na tusi juu huyo askari magereza.
Mimi nasema huyu anatakiwa siku afichwe then afundishwe namna ya kuomba samahaniSilipendi hilo jamaa kwanza lina jeuri (kiburi) halafu linapenda kuropoka ropoka. Hivi samahani ndo inaombwa hivyo kweli
Mimi na roho mbaya ujui tuHahaha, ukitumwa wewe ukamkamate, utarudi mikono mitupu.
Nakwambia utamuonea huruma.
Wamuache tu, kitaharibika nini?
Mimi napendekza wamfiche siku mbili tu afu wakimrudisha wamtupe pale mbweni beachMapot tafuteni kaupenyo mumpe kibano huyo mhuni
HapanaMkuu tunabishana bure ila askari hakutumia ustaarabu.
Tafta kisa cha mama Samia kipindi bado mtumishi wa chini alivyowekwa selo kisa kapishana na gari ya askari nusuru kuwagonga.
Askari polisi wana mtihani kichwani.
Wakimfungia atajipendekeza azAmMimi Mwananchi kindakindaki lakini nilikerwa na maneno ya Manara dhidi ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Yanga wanatakiwa wamfungie kujihusisha na Timu yao kwa muda ili liwe onyo kwa wote wenye tabia hiyo!!!
Ushawai ingia kwenye kumi nane zao eeHakuna jeshi lina kipigo kibaya kama magereza.
Aende!!!Wakimfungia atajipendekeza azAm
Embu muangalie vizuri ngumi anaweza kweliNasikia ana black belt anapiga Taikwondo balaa yaan ni Master WushuView attachment 3183724
Hapa mm yanga ila simkubali kabisaNaona mashabiki wa Simba wanachangia kwa hisia sana😂😂😂
Siku iyo ataimba wimbo wa udogo ambao alikuwa anaupendaAwafanyie hivyo hata JKT tu, bila kujali yuko sahihi
Ni mbaya sana anaona sifa wanavyosema ana mdomo mchafuNilivaa viatu vya yule askali nilijisikia vibaya sana!
Sema yule mama wa magereza kamhuhurumia tu kwasababu walikuwa kwenye michezo afanye ivyo tenaSheria za nchi zinaruhusu kuomba msamaha?
AhahahAende!!!
Msamehe tu, mtafute umuone kwanza kisha uje utupe mrejesho.Mimi na roho mbaya ujui tu