Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Uyo kijana ana. Mdomo mchafueti wakawaamrishe wafungwa wenzaooo 😀 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo kijana ana. Mdomo mchafueti wakawaamrishe wafungwa wenzaooo 😀 😀 😀
Magereza wanapiga kuliko JW.
Kabisa sijui kwanini mpaka sasa yupo anazululaEnzi za mwalimu Huyu tungemkuta segerea
Dah kwa rangi yake alitakiwa awe mpole sana asikutwe kwenye makosa ila sivyoUyoo jamaa anazingua kisa rangi ake mkuu. Atalalamikia uko wananitenga atataka huruma za walimwengu
Nilisikia askari magereza huwa wanapitia mafunzo makali kudhibiti wafungwa sasaa kile kichambooo wakabaki wanakenua meno tu.
Manara ajaribu kufanya hivyo nje ya hadhara ya mpira. Utaona jinsi Magereza wanavyopiga kuliko JW
Wanamdekeza sanaHuyu jamaa ni Mpumbavu sana.
Mimi nasema wanamdekeza brand ya mdomo mchafuAlafu anakuambiaa mimi ni brand 😄
Mimi ni rolemodell 😄
Ova
Ngoja nipambane nipate iyo wizara niwalekebisheAhahahahaha! Wao wanaodai midomo hiyo ndio inawalisha! Ahahahahaha!!!
Kuliko kawaidaNi mpumbavu sana huyo
Yani huwa anahisi yupo Juu ya sheria na kila mtuu.. akijisikia kuropoka anaropokaa tuu sasa mpaka Maboss zake watakaomlinda wanaona ni too much.Uyo kijana ana. Mdomo mchafu
Master hapigani kwa vichambo!....wakabaki...
Hakuna jeshi lina kipigo kibaya kama magereza.
Kuna mtu hapo page ya kwanza kaongelea kuhusu misukule ya Manara.Naona mashabiki wa Simba wanachangia kwa hisia sanaí ½í¸í ½í¸í ½í¸
Wamekuomba utoe gari wapite, unawajibu wasubiri umalize interview, kweli Mzee? Wasikufokee tu?Nao wasimfokee
Wakimfokea nae atawafokea