Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Mzigo wote ulikuwa scripted.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Haji hajamaanisha kua kaomba msamaha?Kila anayeomba msamaha anamaanisha!?
Magereza wanapiga kuliko JW.Sema yule mama wa magereza kamhuhurumia tu kwasababu walikuwa kwenye michezo afanye ivyo tena
Enzi za mwalimu Huyu tungemkuta segereaNi kapumbavu sana akichukuliwa hatua anatia huruma
Uyoo jamaa anazingua kisa rangi ake mkuu. Atalalamikia uko wananitenga atataka huruma za walimwenguHapna uyu mnamuendekeza
Stupid fishKwahiyo Haji hajamaanisha kua kaomba msamaha?
Kama jibu lako ni ndiyo,
Wewe umejuaje kua Haji hajamaanisha kwenye kuomba huo msamaha?
Kuomba msamaha ni kukubali kosa.
Mbele ya manati hakuna cha Wushu! Ha ha haaaa!!Nasikia ana black belt anapiga Taikwondo balaa yaan ni Master WushuView attachment 3183724
Hii tuwaachie wenyewe..!Magereza wanapiga kuliko JW.
Manara ajaribu kufanya hivyo nje ya hadhara ya mpira. Utaona jinsi Magereza wanavyopiga kuliko JWNilisikia askari magereza huwa wanapitia mafunzo makali kudhibiti wafungwa sasaa kile kichambooo wakabaki wanakenua meno tu.
Binti vipi? mbona povu kama vile umeikalia?Stupid fish
eti wakawaamrishe wafungwa wenzaooo 😀 😀 😀Manara ajaribu kufanya hivyo nje ya hadhara ya mpira. Utaona jinsi Magereza wanavyopiga kuliko JW
Hiyo ni dharau iliyozidi kipimo. Anatakiwa kuchukuliwa sheriaeti wakawaamrishe wafungwa wenzaooo 😀 😀 😀
AhhahaMsamehe tu, mtafute umuone kwanza kisha uje utupe mrejesho.
Hata utashangaa anawezaje kuongea hivyo.
Wanasema watu wenye infiriority complex wanaomgea sanaa, basi ndio yule, anajua kila kitu.
View: https://youtu.be/yb-hC6suofc?si=kI9uE3IMw8NYkp_c
Huyu wana mchekea wangemchukulia sheria.
Kuwa albino isiwe sababu ya yeye kutukana watu kwa kivuli cha ulemavu yeye sio albino wa kwaza
Pia Soma: Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?
Kongfu masterMbele ya manati hakuna cha Wushu! Ha ha haaaa!!
Ameikalia nini mbilimbi au filimbi?Binti vipi? mbona povu kama vile umeikalia?
Alafu anakuambiaa mimi ni brand 😄Huyu jamaa ni Mpumbavu sana.
Ahahahahaha! Wao wanaodai midomo hiyo ndio inawalisha! Ahahahahaha!!!Wanamvumilia tu hakuna anaependa huwezi kuwa na mdomo mchafu hivi kama gigy