Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Wanamvumilia tu hakuna anaependa huwezi kuwa na mdomo mchafu hivi kama gigyHeri yetu Simba tulimfukuza maana hatuwezi kukaa na watu wasio na akili kwa mujibu wake yeye mwenyewe na ndio maana yupo kwa wenzie isipokuwa Mzee Kikwete na Mzee Manara!