Manara aomba msamaha kwa dharau alizowafanyia Magereza

Manara aomba msamaha kwa dharau alizowafanyia Magereza

Heri yetu Simba tulimfukuza maana hatuwezi kukaa na watu wasio na akili kwa mujibu wake yeye mwenyewe na ndio maana yupo kwa wenzie isipokuwa Mzee Kikwete na Mzee Manara!
Wanamvumilia tu hakuna anaependa huwezi kuwa na mdomo mchafu hivi kama gigy
 
Tatizo askari alimwambia Kwa ukali kama anamfokea mfungwa. Yaani uambiwe wewe Toka hapo Kwa ukali utegemee unayemwambia asikasirike? Manara alikuwa sahihi
Ubembelezwe wewe nani mtoto?
 
Wamuache tu, uliisha muona huyo manara uso kwa uso?

Uta muhurumia tu, wamuache abwabwaje atakavyo, mimi siwezi hata kumsukuma, hata anitukane vipi.
Kuna mda unaweka huruma pembeni
 
Manara yupo sahihi
Kwanini askari Magereza wanaleta ubabe kwenye michezo
Au waanzishe ligi zao za Magereza
Mfano Butimba icheze na Ukonga
Sio ubabe unapaki vipi gari mbele ya gari af unaambiwa unasema ngoja nimalize mahojiano kweli kwahy wakae wakungojee wewe
 
Silipendi hilo jamaa kwanza lina jeuri (kiburi) halafu linapenda kuropoka ropoka. Hivi samahani ndo inaombwa hivyo kweli
 
Manara yuko sahihi,wewe huwezi ukafoka foka tu hovyo kisa wewe askari.
Mie ningekua Manara ningemuongezea na tusi juu huyo askari magereza.
Kwahy unaona ni sawa kapaki gari mbele ya gari unaambiwa pishs unasema mpaka umalize mahojiano kweli?
 
Kwahy unaona ni sawa kapaki gari mbele ya gari unaambiwa pishs unasema mpaka umalize mahojiano kweli?
Mkuu tunabishana bure ila askari hakutumia ustaarabu.
Tafta kisa cha mama Samia kipindi bado mtumishi wa chini alivyowekwa selo kisa kapishana na gari ya askari nusuru kuwagonga.
Askari polisi wana mtihani kichwani.
 
Mim siku aje anijibu shombo zake izo mmoja anaenda hospital mwingine kituoni
Nasikia ana black belt anapiga Taikwondo balaa yaan ni Master Wushu
455662.jpg
 
Back
Top Bottom