Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ni kapumbavu sana akichukuliwa hatua anatia hurumaAliangalia na sura za kujibu hivyo..
Ni mpumbavu af mimi naona hapo bado ajaomba msamaha maana ni kama anataka kuonyesha bado hana makosaHuyu ni Punguani. Busara ni kuomba msamaha yeye analeta ujinga. Eti shabiki 😂😂😂 wakati alitambua yule ni askari na akatamka waite askari wenzako.
Nao ashukuru magereleza ndio kawafanyia ivyo wamemtupia taulo ila mimi bado na mtamaniAseme jeshi la magereza na wafungwa wotee
Yani uongee upumbavu alafu uombe kurushiwa taulo
Nilijua ataomba tu msamaha,ana bahati alikutana na muungwana, ingekuwa mwingine angeeumuka uso chap.
View: https://youtu.be/yb-hC6suofc?si=kI9uE3IMw8NYkp_c
Huyu wana mchekea wangemchukulia sheria.
Kuwa albino isiwe sababu ya yeye kutukana watu kwa kivuli cha ulemavu yeye sio albino wa kwaza
Pia Soma: Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?
Kwamba Bado una jambo naeNao ashukuru magereleza ndio kawafanyia ivyo wamemtupia taulo ila mimi bado na mtamani
Heri yetu Simba tulimfukuza maana hatuwezi kukaa na watu wasio na akili kwa mujibu wake yeye mwenyewe na ndio maana yupo kwa wenzie isipokuwa Mzee Kikwete na Mzee Manara!
View: https://youtu.be/yb-hC6suofc?si=kI9uE3IMw8NYkp_c
Huyu wana mchekea wangemchukulia sheria.
Kuwa albino isiwe sababu ya yeye kutukana watu kwa kivuli cha ulemavu yeye sio albino wa kwaza
Pia Soma: Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?
Kwa hiyo kwa maoni yako unaona alikuwa sahihi?Tatizo askari alimwambia Kwa ukali kama anamfokea mfungwa. Yaani uambiwe wewe Toka hapo Kwa ukali utegemee unayemwambia asikasirike? Manara alikuwa sahihi
Kitu alichofanikiwa Manara ni kutengeneza misukule yake.Tatizo askari alimwambia Kwa ukali kama anamfokea mfungwa. Yaani uambiwe wewe Toka hapo Kwa ukali utegemee unayemwambia asikasirike? Manara alikwa sahihi
Uyu ipo siku yake yajaNilijua ataomba tu msamaha,ana bahati alikutana na muungwana, ingekuwa mwingine angeeumuka uso chap.
Huyu ndio wakumficha yaani unamficha akitoka hapo hawezi simulia mtu kitiPona pona yake ni kwa kuwa walikuwa wanatoka kwenye issue ya michezo, tofauti na hapo alikuwa hajulikani amehifadhiwa kituo gani mda huu.
Mim siku aje anijibu shombo zake izo mmoja anaenda hospital mwingine kituoniKwamba Bado una jambo nae