Hapo ni uwanjani wenye mpira ni TffWamekuomba utoe gari wapite, unawajibu wasubiri umalize interview, kweli Mzee? Wasikufokee tu?
Wanamtetea vibayaYani huwa anahisi yupo Juu ya sheria na kila mtuu.. akijisikia kuropoka anaropokaa tuu sasa mpaka Maboss zake watakaomlinda wanaona ni too much.
AhahBinadamu anayeongoza kwa kuomba msahama baada ya yeye kukosewa
Kabisa sijui kwanini wanamuacha angesota mahakamani kwa mwakab nahisi angejifunzaRaia wa leo, mfungwa wa Kesho.
Wakina Boni Yai, Sugu, Lema nk wameishi Magereza fresh tu.
Huyu bwana sio tu amewadharau Askari Magereza, amewadharau na wafungwa pia.
Anatumia ulemavu vibayaWamemuonea huruma tu uyo wakimuamulia hatoboi
SanaAnatumia ulemavu vibaya
Hahahaha,jamaa ni fundi sana wa kupinduapindua manenoNi mpumbavu af mimi naona hapo bado ajaomba msamaha maana ni kama anataka kuonyesha bado hana makosa
Yaani member mpya kabisa unaniita mimi mzee ni misukule?wewe kijana huna adabu kabisa.Kitu alichofanikiwa Manara ni kutengeneza misukule yake.
Eti what is happened! Kaka nae ameona akichape kidogo lkn kimemchapa mwenyewe!
View: https://youtu.be/yb-hC6suofc?si=kI9uE3IMw8NYkp_c
Huyu wana mchekea wangemchukulia sheria.
Kuwa albino isiwe sababu ya yeye kutukana watu kwa kivuli cha ulemavu yeye sio albino wa kwaza
Pia Soma: Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?
Nchi za watu angepoteza endorsement zote za makampuni yanayofanya naye kaziNilijua ataomba tu msamaha,ana bahati alikutana na muungwana, ingekuwa mwingine angeeumuka uso chap.
KabisaHahahaha,jamaa ni fundi sana wa kupinduapindua maneno
Kumbe choko tuShida yake kulazimisha umaarufu hivyo anajiona bab'kubwa.
Ili huyu ndugu awe na adabu kwa kila mtu, kila taasisi tia ndani, kwa muda mfikishe mahabusu Segerea akaone tofauti ya Maafisa Magereza na Wafungwa. Kuomba radhi sasa hivi amechelewa. Tunataka kumuona Haji Manara aliyebadilika . Kila kitu anajiona yeye ni super star, mjinga mkubwa.
View: https://youtu.be/yb-hC6suofc?si=kI9uE3IMw8NYkp_c
Huyu wana mchekea wangemchukulia sheria.
Kuwa albino isiwe sababu ya yeye kutukana watu kwa kivuli cha ulemavu yeye sio albino wa kwaza
Pia Soma: Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?