Manara atoa onyo kutofua jezi mpya ya simba kutokana na quality kuwa mbovu

Manara atoa onyo kutofua jezi mpya ya simba kutokana na quality kuwa mbovu

ila hatukumtengeneza awe hovyo alivyo
Manara mdomo mchafu mkuu...

Maneno kama vyura, utopolo na mengi e mengi ni kwa sababu Manara kayatamka...
 
Patrick aussems alimaliza kila kitu hapa kuhusu makolocho utelembwe kanga moko

View attachment 1926660
Muulizeni Manara kwanini kila alipokuwa akienda Nyumbani Kwake Patrick Aussems kila akitoka alikuwa anachechemea huku Macho yake yakiwa yamelegea na Aussems anatoka na Taulo tu huku akiwa anatabasamu na Kashika kikombe cha Kahawa?
 
This guy Manara anaishi kwa kupitia mgongo wa SIMBA kwasababu inavyo onekana bila SIMBA jamaa hana any content ambayo itamfanya aendele kuwapo anatumia mbinu za CCM(ukitaka kujulikana wachafue watu kwa kila hali A.K.A jitoe ufahamu wa akili).na nikwafaida yake mwenyewe sio YANGA wala SIMBA .

Na nilicho ngundua kingine ameanza kumtumia BABA yk Mzee Manara kama BACK UP yake nyingine niliona week iliyo pita BABA yk na yeye kaitisha Conference ya wanahabari kumsupport Mwanaye.....Mambo ya MO kutekwa yana husu nini ? Kwa sasa hawa ni VIRUS kwa maendeleo ya kweli ya mpira .
 
Manara mdomo mchafu mkuu...

Maneno kama vyura, utopolo na mengi e mengi ni kwa sababu Manara kayatamka...
Tuweke sawa
utopolo walijiita wenyewe
chura lilitokana na bwawa la kaunda
pia alikataa kuwaita majina walioitwa na lucy emeli
mbwa na nyani kutokana na kuogopa mabosi zake gsm
sasa hv anamua atack mo na babra tu
atack timu
tuambie wachezaji wetu hawajui mpira
sifia timu yako
sema tz nzm hakuna kama nchimbi
kama alivyokuwa anamsifia chama
ila siku hz amekuwa wa hovyo
 
Kitakachotokea ndo utajua ni mlemavu au ni mzungu kichaa au mzungu pori
Bugati aliwataadhalisha tu tena kiroho safi

Screenshot_20210906-174354_Instagram.jpg
 
Muulizeni Manara kwanini kila alipokuwa akienda Nyumbani Kwake Patrick Aussems kila akitoka alikuwa anachechemea huku Macho yake yakiwa yamelegea na Aussems anatoka na Taulo tu huku akiwa anatabasamu na Kashika kikombe cha Kahawa?
Leo ndio yamekua hayo tena mkuu,mbona boss kubwa mwenye mchele,halafu wewe unatoka mkoa m1 na magori utakua una mengi unayajua kumuhusu na ndio maana yuko bene sana na boss kubwa

Screenshot_20210620-143056_Gallery.jpg
 
Tuweke sawa
utopolo walijiita wenyewe
chura lilitokana na bwawa la kaunda
pia alikataa kuwaita majina walioitwa na lucy emeli
mbwa na nyani kutokana na kuogopa mabosi zake gsm
sasa hv anamua atack mo na babra tu
atack timu
tuambie wachezaji wetu hawajui mpira
sifia timu yako
sema tz nzm hakuna kama nchimbi
kama alivyokuwa anamsifia chama
ila siku hz amekuwa wa hovyo

Mimi binafsi huwa simkubali Manara, kwa sababu ana mdomo mchafu...

Usishangae kesho akarudi Simba na akarejelea kuwaponda Yanga...
 
Mimi binafsi huwa simkubali Manara, kwa sababu ana mdomo mchafu...

Usishangae kesho akarudi Simba na akarejelea kuwaponda Yanga...
hata akirudi haendi kule juu
 
Back
Top Bottom