MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Hapo akimaanisha msukule na senzoPatrick aussems alimaliza kila kitu hapa kuhusu makolocho utelembwe kanga moko
View attachment 1926660
na tumewatoa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo akimaanisha msukule na senzoPatrick aussems alimaliza kila kitu hapa kuhusu makolocho utelembwe kanga moko
View attachment 1926660
Kitakachotokea ndo utajua ni mlemavu au ni mzungu kichaa au mzungu poriKitatokea nini
Yan hapo aussems katembea mule mule alipotembelea mwenyekiti mstaafu kwa kuwaita makolocho kanga moko mbu3Hapo akimaanisha msukule na senzo
na tumewatoa kweli
Naona kingereza huelewi kabisaYan hapo katembea mule mule alipotembele mwenyekiti mstaafu kwa kuwaita mbu3
Marudio au?Manara asipoangalia ataliwa tako oohh
Manara mdomo mchafu mkuu...ila hatukumtengeneza awe hovyo alivyo
Muulizeni Manara kwanini kila alipokuwa akienda Nyumbani Kwake Patrick Aussems kila akitoka alikuwa anachechemea huku Macho yake yakiwa yamelegea na Aussems anatoka na Taulo tu huku akiwa anatabasamu na Kashika kikombe cha Kahawa?Patrick aussems alimaliza kila kitu hapa kuhusu makolocho utelembwe kanga moko
View attachment 1926660
Tuweke sawaManara mdomo mchafu mkuu...
Maneno kama vyura, utopolo na mengi e mengi ni kwa sababu Manara kayatamka...
Bugati aliwataadhalisha tu tena kiroho safiKitakachotokea ndo utajua ni mlemavu au ni mzungu kichaa au mzungu pori
ila zishauzwa
Leo ndio yamekua hayo tena mkuu,mbona boss kubwa mwenye mchele,halafu wewe unatoka mkoa m1 na magori utakua una mengi unayajua kumuhusu na ndio maana yuko bene sana na boss kubwaMuulizeni Manara kwanini kila alipokuwa akienda Nyumbani Kwake Patrick Aussems kila akitoka alikuwa anachechemea huku Macho yake yakiwa yamelegea na Aussems anatoka na Taulo tu huku akiwa anatabasamu na Kashika kikombe cha Kahawa?
Tuweke sawa
utopolo walijiita wenyewe
chura lilitokana na bwawa la kaunda
pia alikataa kuwaita majina walioitwa na lucy emeli
mbwa na nyani kutokana na kuogopa mabosi zake gsm
sasa hv anamua atack mo na babra tu
atack timu
tuambie wachezaji wetu hawajui mpira
sifia timu yako
sema tz nzm hakuna kama nchimbi
kama alivyokuwa anamsifia chama
ila siku hz amekuwa wa hovyo
Siku mkifungwa ndio mtajua manara anakera kera vipi 😂ila zishauzwa
hahahahaha
Mungu ibariki Rivers utdSiku mkifungwa ndio mtajua manara anakera anakera vipi 😂
hata akirudi haendi kule juuMimi binafsi huwa simkubali Manara, kwa sababu ana mdomo mchafu...
Usishangae kesho akarudi Simba na akarejelea kuwaponda Yanga...
Kama ninyinalivyowageuka na sasa muda wote mnalia lia tu.Siku huyo Zeru zeru akiwageuka wasilalamike tu maana sasa wanaona anawafurahisha.