Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kama Mwamedi alivyovalishwa Kanga laini ya Mombasa wakati ule alipotekwa,basi hakuna jipya.Manara asipoangalia ataliwa tako oohh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Mwamedi alivyovalishwa Kanga laini ya Mombasa wakati ule alipotekwa,basi hakuna jipya.Manara asipoangalia ataliwa tako oohh
Mbumbumbu katika ubora wakoNaona mmeamua kumuita Buggatinho ili aonekane ni mchezaji wa brazil
uto ni matakataka sana
Kamuulize Mwamedi kipindi kile alipotekwa na kuvalishwa kanga laini ya Mombasa alikaa wapi,kitandani au kwenye kochi.Mwambie akakae juani saa saba mchana kesho na mimi nikae
Usiogope kuleta mrejesho baada ya kuifua.Nilikuwa sina mpango wa kuchukua hiyo jezi, ila alipopost manara kuwa zinachanika...mimi na familia yangu wote tumenunua kuhakikisha kama zitachanika
Nakumbuka miaka ya 80s Marekani walibadilishana na Iran mateka kwa silaha, halafu silaha zilizile zilitumika kuangushia ndege ya Marekani.Tutalalamika kwasababu hata na nyinyi amewageuka mnalalamika[emoji24]
Mkuu hujafa hujaumbikaSiku huyo Zeru zeru akiwageuka wasilalamike tu maana sasa wanaona anawafurahisha.
Na ulivyokuwa huna akili ni lini Manara alishawahi kuwa kwenye board?Hapo akimaanisha msukule na senzo
na tumewatoa kweli
Nguvu moja 🤣💪Ukiangalia vizuri utaona Ni nguvu imetunika kuchana hiyo Jez
Kwani zeruzeru si jina la kawaida TU,au mnataka aitwe kwa kizungu, "albino" ndio mnaona sawa, Manara ni zeruzeru,ana haki sawa na raia yeyote wa jamhuri,kuwa zeruzeru sio tiketi ya kutukana wenzake au kokosa heshima kwa wenzake!!Mkuu hujafa hujaumbika
Tumia busara kidogo haya maisha ni mapito na huu ni utani wa mpira mbona sisi tunaambiwa tumebeba misukule kwenye jezi lakini hatujamaindi kiasi hiki
Nakuombea kwa Mungu walau akupe hekima japo kidogo
Kwa kauli hii, tema mate mbali ndugu yangu. "Usitukane Wakunga na uzazi ungalipo"Mwambie akakae juani saa saba mchana kesho na mimi nikae
si mkubali manara ili atawatesa sana aisee..Naona mmeamua kumuita Buggatinho ili aonekane ni mchezaji wa brazil
uto ni matakataka sana
bapo juu kuna neno manara hapo ??si mkubali manara ili atawatesa sana aisee..
hivi unaweza pita mwezi bila kuandika neon "Manara"?
Na yeye pia anamtengenezea vunja bei mpunga mrefu kwa kumfanyia promo jezy zake, me nmeitafuta jezzy ya simba baada ya kumsikia manara akizipondaSimba ndio mmemtengeneza Manara kuwa hivyo alivyo...
Kwa hiyo Buggatinho ndio Mo Dewji si ndio?bapo juu kuna neno manara hapo ??
we dishi limeyumba
Huyo zeruzeru Hadi ubongo wake Ni albinoUzeruzeru unahusiana nini?! Pumbavu mkubwa wewe.
Kolo hawana akili,manara katutukana sana sisi Yanga lakini atukuwahi kumuonyesha chuki yoyote,mikia wamekerwa wiki tu wanamuattack kwa kila aina ya maneno machafuKwa kauli hii, tema mate mbali ndugu yangu. "Usitukane Wakunga na uzazi ungalipo"
They look like the ones that were being used by Mr Noah in the ArkBaada ya semaji la nchi bugatinho kuwatawdhalisha kolo utelembwe kutofua shumiz za vunja price kwa quality mbovu madhara yake yashaanza kuonekana kabla ya kuanza kufuliwa,zikifuliwa si zitakua balaa
View attachment 1926585
View attachment 1926587
Ahaaa,kumbe dawa yake ni kumuweka juani saa sita kamili mchana.