Manara atoa onyo kutofua jezi mpya ya simba kutokana na quality kuwa mbovu

Manara atoa onyo kutofua jezi mpya ya simba kutokana na quality kuwa mbovu

Baada ya semaji la nchi bugatinho kuwatawdhalisha kolo utelembwe kutofua shumiz za vunja price kwa quality mbovu madhara yake yashaanza kuonekana kabla ya kuanza kufuliwa,zikifuliwa si zitakua balaa


Yaani umeanzisha uzi huu kwa sababu amesema Manara! Kwamba kwa akili yako huwezi kufikiri chochote ila atakachosema Manara! Eti kasema Manara! 😁😁😁
 
Umepanic mzee,ila wewe kuleta ujinga unaouletaga hapa jukwaani ni sahihi!?
umekubali kuwa umeleta ujinga?usifanye jukwaa kama sehemu ya porojo. Tumia akili bro,wewe unaamini hicho alichosema?umeshuhudia? Weka hapa huo ujinga niliowahi kuleta
 
Yaani umeanzisha uzi huu kwa sababu amesema Manara! Kwamba kwa akili yako huwezi kufikiri chochote ila atakachosema Manara! Eti kasema Manara! 😁😁😁
inashangaza sana,eti Manara kasema. Member wa JF unashikiwa akili na Manara?
 
Basi ngoja tukanunue izo jezi tushuhudie Kama tukifua zitachanika...
 
Bugatinho anawakosesha amani makolokolo siku tutakayomchukua babra makolokolo ndio watalia kabisa
 
Back
Top Bottom