ANOTHER PLANET
Member
- Mar 23, 2017
- 24
- 16
kwani Simba kwenye FA si alipenya kwa inshu kama hii, "what comes around, goes around"Umeongea vema sana lakin nikuulize kipi kilimpa simba point tatu kabla ya kurudishwa kwa kagera jana?? Na jana maamuzi yalikua kuchelewesha laki 3 au hana kadi za njano tatu au rufaa ilikosewa??