Na wewe utakua ni mmojawapo wa mambumbumbu...kamati haiwezi kujadili hoja ya kadi tatu za njano kwakua kanuni za maombi ya kukata rufaa hayakufatwa....
1. Kuchelewa kupeleka malalamiko ndani ya masaa 72 jambo ambalo Simba walitoka nje ya mda... ( ikumbukwe kanuni hii ilitumika Polisi Dodoma walivyoikatia rufaa Thimba japokua walikua na vielelezo vya kutosha, mkafurahi sana, kwanini leo msifurahi?.. Mkuki kwa nguruwe sio)
2. Hamkulipia malipo ya rufaa yenu 300,000 Kama ilivyo kanuni... Japokua mnajitangazia mna pesa, sijui mlishindwaje laki 3, mlitegemea kubebwa hivi hivi.. Hilo ndio tatizo la kuwa na viongozi mambumbumbu...
3. Kikao cha bodi mnaletaje wageni waalikwa, waje kufanya nini, kwani mmesikia ni ufunguzi wa uwanja? Lakini hiyo yote ni hasara ya umbumbumbu... Rage alishajitoa kwenye umbumbumbu...
Sasa unapotaka zijadiliwe kadi 3 za njano,... Unaanzaje wakati kanuni zimekiukwa?
Kanuni ni kumvua pichu demu wako ndio ule zigo, wewe unaanza kugegeda bila kutoa pichu, halafu baadae unaanzaje kujadili mimba ambayo haiwezi kukaa mpaka pichu itolewe.... Amka!