Manara: Jumanne Nabutua, wanachama wetu watulie

Manara: Jumanne Nabutua, wanachama wetu watulie

Umeongea vema sana lakin nikuulize kipi kilimpa simba point tatu kabla ya kurudishwa kwa kagera jana?? Na jana maamuzi yalikua kuchelewesha laki 3 au hana kadi za njano tatu au rufaa ilikosewa??
Jibu ni kwamba Simba alipewa point kimakosa sababu Rufaa yao ilikatwa nje ya Kanuni na utaratibu....
 
Hebu jibu nilichouliza halaf tuje kwa ishu ya simba kupenya,,,hata serengeti boys wamepenya kwa mezan vike vile
Aiseeee
1. Serengeti walizimgatia muda,wakalipa na malipo ndo maana walipewa ushindi
2. Polisi hawakizingatia muda ndo pointi zilibaki simba
3. Simba hawakuzingatia muda na ada hawakulipa ndo maana pointi zimebaki kagera

Kama walichofanya simba ndio walichofanya polisi: basi walichopewa simba ndicho walichopewa kagera regardless ana kadi 3 au hana.
 
Ndio Maana Rage akawaita mambumbumbu.... Hiyo rufaaaa mliikata ndani ya wakati!!?? Najua Je mliiilipia!!?? ....mkumbuke polisi walikata rufaa dhidi ya Lufunga wakaambiwa walichelewa na hawakulipia mkabaki na ushindi.... Hakika ni mambumbumbu
Wewe na rage wote si papai tu. Sasa kama rufaa haikwatwa ndani ya wakati, kwanini sasa mlikuwa mnazungusha viuno katika kutoa maamuzi yake kwa kamati zetu za ovyo.!
 
kwakweli Malinzi ni shujaa atakumbukwa sana kwa kitendo chake cha kishujaa.
 
Simba acheni kelele. Kagera Sugar iliwanyoosha hivyo jiandae na mechi ya Jumamos dhidi ya Azam.
 
Kiini cha matatizo yote haya ni udhaifu wa TFF na Club za soka nchini kuhusu utunzaji wa kumbukumbu za kila mechi za soka ki-eletronic, inachekesha watu wazima wanakaa siku 3 hadi 4 wakijadili kama mchezaji alipewa kadi ama lah.

Hii inadhihirisha kwamba tupo nyuma miaka 100 ki soka, ni bora tukatafuta kitu kingine cha kufanya - soka limeshatushinda tuwaachie wanaoliweza.
 
mpuuzi wewe BMt ni serikali aiwezi ingilia maamuzi ya tff
Hapo ndipo nnaposhangaa manara anavyotaka TZ ifungiwe kabisa na FIFA,Serikali wampuuze huyo manara asije pelekea nchi kufungiwa.
Ni ajabu na kweli kua japo manara anajiita ofisa habari wa simba,ila hajui prinsipal za mpira duniani
 
Na wewe utakua ni mmojawapo wa mambumbumbu...kamati haiwezi kujadili hoja ya kadi tatu za njano kwakua kanuni za maombi ya kukata rufaa hayakufatwa....
1. Kuchelewa kupeleka malalamiko ndani ya masaa 72 jambo ambalo Simba walitoka nje ya mda... ( ikumbukwe kanuni hii ilitumika Polisi Dodoma walivyoikatia rufaa Thimba japokua walikua na vielelezo vya kutosha, mkafurahi sana, kwanini leo msifurahi?.. Mkuki kwa nguruwe sio)
2. Hamkulipia malipo ya rufaa yenu 300,000 Kama ilivyo kanuni... Japokua mnajitangazia mna pesa, sijui mlishindwaje laki 3, mlitegemea kubebwa hivi hivi.. Hilo ndio tatizo la kuwa na viongozi mambumbumbu...
3. Kikao cha bodi mnaletaje wageni waalikwa, waje kufanya nini, kwani mmesikia ni ufunguzi wa uwanja? Lakini hiyo yote ni hasara ya umbumbumbu... Rage alishajitoa kwenye umbumbumbu...

Sasa unapotaka zijadiliwe kadi 3 za njano,... Unaanzaje wakati kanuni zimekiukwa?
Kanuni ni kumvua pichu demu wako ndio ule zigo, wewe unaanza kugegeda bila kutoa pichu, halafu baadae unaanzaje kujadili mimba ambayo haiwezi kukaa mpaka pichu itolewe.... Amka!
Nmekuelew na nahc na mbumbumbu nao wameshakusoma,,,,kisu n kilekike kilichomchinja mnyama yule*2
 
upload_2017-4-25_17-52-13.png
 
Umeongea vema sana lakin nikuulize kipi kilimpa simba point tatu kabla ya kurudishwa kwa kagera jana?? Na jana maamuzi yalikua kuchelewesha laki 3 au hana kadi za njano tatu au rufaa ilikosewa??
Kilichompa simba point tatu c kard za Fakhi,,,,ila n mapnz bnafs+ukosefu wa welded miongon mwao wt walokaa kujadil rufaa ya Simba
Kaa vzr unielewe,,,je n nn kilichowafany kamat72 kujadil rufaa ambayo haijalipiw?
Hawakujua kisheria n kosa?
N nn kiliwafany waijadil rufaa ilofka nje ya masaa huska??
Kp kiliwapelekea kamat kualika wagen???
Wnynw wakikuw hawajitoshelez ama kanun iliwaagiza hvy?
Elew hv hvy vyt vingefanyk ktk hal sahh kikanun pasi na shaka Simba alikuw anapew point tena kihalal
 
Mkuu GENTAMYCINE umeshusha nondo za nguvu. Mimi kama mwanamsimbazi nakiri ukweli wa yote uliosema. Nafahamu sarakasi za usajili wa yule golikipa wa Mtibwa HUSSEIN SHARIF - CASILLAS.

Nafahamu majambazi yetu yanayojiita viongozi walichomfanya kipa yule mpk kurudi zake mtibwa na baadae kwenda zake kwa mecky Bukoba!
 
Kilichompa simba point tatu c kard za Fakhi,,,,ila n mapnz bnafs+ukosefu wa welded miongon mwao wt walokaa kujadil rufaa ya Simba
Kaa vzr unielewe,,,je n nn kilichowafany kamat72 kujadil rufaa ambayo haijalipiw?
Hawakujua kisheria n kosa?
N nn kiliwafany waijadil rufaa ilofka nje ya masaa huska??
Kp kiliwapelekea kamat kualika wagen???
Wnynw wakikuw hawajitoshelez ama kanun iliwaagiza hvy?
Elew hv hvy vyt vingefanyk ktk hal sahh kikanun pasi na shaka Simba alikuw anapew point tena kihalal
Sidhani kama Simba hawajaelewa, ila wanajitoa akili tudhani kuwa hawajaelewa
 
Uso wa binadamu umeumbwa na haya, lakini hawa wenzetu wameumbwa na uso wa chuma. Hivi, umetandikwa magoli mawili UWANJANI mchana kweupeee, hakuna la off side wala timu iliyorusha vyupa uwanjani, mtu mzima...mwanaume na akili zako unaamka na sababu za kuokoteza kama mdada eti kadi...kuna mtu anaweza kunieleza hizo kadi zilichangiaje Simba kupigwa katerero mbili?
 
Na wewe utakua ni mmojawapo wa mambumbumbu...kamati haiwezi kujadili hoja ya kadi tatu za njano kwakua kanuni za maombi ya kukata rufaa hayakufatwa....
1. Kuchelewa kupeleka malalamiko ndani ya masaa 72 jambo ambalo Simba walitoka nje ya mda... ( ikumbukwe kanuni hii ilitumika Polisi Dodoma walivyoikatia rufaa Thimba japokua walikua na vielelezo vya kutosha, mkafurahi sana, kwanini leo msifurahi?.. Mkuki kwa nguruwe sio)
2. Hamkulipia malipo ya rufaa yenu 300,000 Kama ilivyo kanuni... Japokua mnajitangazia mna pesa, sijui mlishindwaje laki 3, mlitegemea kubebwa hivi hivi.. Hilo ndio tatizo la kuwa na viongozi mambumbumbu...
3. Kikao cha bodi mnaletaje wageni waalikwa, waje kufanya nini, kwani mmesikia ni ufunguzi wa uwanja? Lakini hiyo yote ni hasara ya umbumbumbu... Rage alishajitoa kwenye umbumbumbu...

Sasa unapotaka zijadiliwe kadi 3 za njano,... Unaanzaje wakati kanuni zimekiukwa?
Kanuni ni kumvua pichu demu wako ndio ule zigo, wewe unaanza kugegeda bila kutoa pichu, halafu baadae unaanzaje kujadili mimba ambayo haiwezi kukaa mpaka pichu itolewe.... Amka!
My nigga my nigaa my niggaaa....
Kula 5 ya mbaaali..
Mtu wa 2 leo Namuita GENIUS humu leo..
Thaaaank u sir..
 
Mimi ni Mwana Simba tena wa Kindaki ndaki kabisa ila nimwombe tu Mfungwa mpya wa Guantanamo ya TFF Haji Manara kuwa atumie vizuri Kfungo hiki katika kujitahidi kuacha uvutaji wa Msuba kwani kiukweli ndiyo unaomuharibu kila kukicha ila Watu wanamlia tu kobisi kutokana na hali yake ya Kibinadamu aliyonayo ya akina ( Under the same Sun ) ila angekuwa na ngozi ya kawaida kama yetu nadhani sasa angeshagawana siku nyingi mno Majengo na Serikali.

Katika hili wana Simba SC wenzangu wala tusitafute mchawi na Mimi kama kawaida yangu kuwa huwa sitaki, sipendi na nachukia mno Unafiki na siku zote nitakuwa mkweli na very neutral katika arguments zangu. Ni kwamba Uongozi wa Simba SC umeshindwa kucheza mpira uwanjani na ukaonekana na sasa baada ya kuona Timu ilifungwa Kagera wakaona wafanye uhuni wao ambao kwa sisi Watu wa mpira tunaujua ili tu zile points tupewe na waweze kuwatuliza Mashabiki na Wanachama.

Ni jambo la aibu na la Kipumbavu sana Simba SC leo hii kuanza kulilia points za mbeleko kwa kisingizio kuwa tunautaka Ubingwa wakati tumesahau kuwa katika mzunguko wa Kwanza tu kuna mechi kama nne hivi ambazo mbili tulifungwa Kimakusudi kabisa na mbili Timu ilicheza chini ya Kiwango na bahati nzuri hata Wachezaji wengi wao ni marafiki zetu na hawatufichi kitu.

Hata kama TFF ina matatizo yake ila na Klabu yangu ya Simba SC nadhani ndiyo ina matatizo makubwa na ya msingi kabisa ila hatuyasemi kwakuwa tunajificha katika mgongo wa kuilaumu TFF na Kamati ya Maadili na Hadhi kwa Wachezaji kuwa inatuhujumu na haitupendi Simba SC. Hivi TFF ya Malinzi ndiyo ilitufanya Simba SC tufungwe Kizembe zile mechi mbili za mzunguko wa Kwanza na Timu icheze mechi mbili zile chini ya Kiwango?

Ukweli ni kwamba Simba SC inafungwa au inafanya vibaya kutokana na Makundi hasimu na yaliyojaa Unafiki yanayoongozwa kwa 100% na Viongozi wa juu kabisa Rais Aveva na Makamu wake Kaburu. Aveva na Wapuuzi wenzake akina Kassim Dewji, Hanspoppe na Kirusi Kikubwa ndani ya Klabu ambeye ni mwana Yanga FC wa kufa Mtu Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Said Tully pamoja na Kaburu na Kundi lake la Wapuuzi wakiwemo akina Musley, Kajuna na Mnafiki mwingine aliyejipachika Cheo cha Chief Protocal wa Klabu Makoye ndiyo wanaoiua Simba SC kila mwaka.

Leo nayasema haya kwa Uchungu kabisa kwani Wana Simba SC wezangu pengine kwa mapungufu yetu ya Kufikiri vizuri huwa hatukai chini na kuitafakari Klabu yetu kwa marefu na mapana yake halafu tunakuja kudanganywa na Ushindi kwa kununua na sisi tunakaa huku kabisa tukiisifu Timu kuwa inafanya vizuri.

Kwa utaalam wangu wa mpira na kwa kucheza Kwangu mpira japo sikufika Kiwango cha akina Msuva, Messi, Kichuya na Ronaldo ila kwa uhakika kabisa naweza kusema kuwa katika Wachezaji wa Kigeni ambao Simba SC tumewasajili ni Wachezaji wawili tu ndiyo wana hadhi ya kuichezea Simba SC nao ni Golikipa kutoka nchini Ghana Daniel Agyei na Mghana mwenzie Kiungo James Kotei ila waliobaki wote ni takataka tupu na huwa najiuliza hivi Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Kapteni wa zamani wa JWTZ Zakaria Hansppope hawa Wachezaji huwa anaokotewa tu bure au anapewa misukule ya kuja kuisaidia Simba SC?

Haji Manara nenda ukapumzike ili ukirudi uje na adabu zote za Kiutendaji na hasa ujifunze nini Kazi au Majukumu ya Msemaji wa Klabu au Taasisi kwani Wewe hukuwa Msemaji wa Klabu kama inavyotakiwa na badala yake ulikuwa tu Muhuni na Mswahili uliyetukuka wa Klabu ya Simba SC ambaye pengine naweza kusema kuwa Kauli zako za Vitisho kwa Marefa zimeweza kutufanya Simba SC tuwe na wakati mgumu katika kila mechi.

Mwisho kwa Wana Simba SC wenzangu tafadhalini tu niwaombeni kuwa kuanzia sasa tujiandaeni tu Kisaikolojia kwamba Ubingwa huenda tukauchukua au tusiuchukue kwani kwa ninavyoijua Yanga FC na wanavyojua fitna za Kibongo uwezekano wa Simba SC yetu kuwa Bingwa ni mdogo kama vile Ngamia kupenya katika tundu la Sindano japo najua katika mpira lolote linaweza kutokea ila siyo kwa mpira wa Tanzania.

Pia tambueni kuwa hata mechi yetu ya Jumamosi ya ASFC dhidi ya Azam FC ni 50/50 ( lolote linaweza kutokea ) ila kwa Saikolojia ya mpira na kwa jinsi hali ya Klabu hasa wiki hizi mbili juu ya Kadi ya njano ya Fakhi na points za Kagera Sugar nisiwaficheni morale ya Timu sasa ipo chini mno na naona tena kwa mbali anguko jingine la Kufungwa na Azam FC Jumamosi ijayo.

Kwa leo naomba tu niishie hapa ila niseme tu kuwa Simba SC yetu haiwezi kufanya vizuri kwa Uongozi huu wa 10% uliopo Klabuni huku mmoja wa Kiongozi wa juu kabisa wa Timu akiwa ndiyo bingwa wa kuuza ramani ya vita kila kwa Azam FC kila Timu yetu inapocheza nayo ili Simba SC ikifungwa tu basi yeye anaenda kwa Bosi wa Azam na anavuta chake maisha yanaendelea.
Ingawa mimi ni shabiki wa Dar es Salaam Young African SC... Ningependa kutoa Shukrani kwa kunisaidia kutoa la Moyoni kuhusu klabu yenu ya Simba SC.

Binafsi ningependa Mashabiki wengi wa Msimbazi waweze kulitambua hili. Kwa kuwa mara nyingi Klabu yenu imekuwa ikiangukia pua.... na mara nyingi Viongozi wenu wamekuwa wakukwepa lawama kwa kutupia manung'uniko Upande mwingine ili tu waonekane kuwa wao wametimiza ya upande wao ila upande mwingine ndio unao kwamisha mambo.!

Na kwa hili wamekuwa wakifanikiwa kila nyakati pale Klabu inapoonekana kwenda kombo..... na mashabiki wengi wa simba wameoneka kwenda sambamba na upepo wa ngoma za Viongozi wa simba sc.
 
Back
Top Bottom