Manara ni limbukeni wa mapenzi kitakachomkuta kwa Zaiylissa asiseme hatukumwambia

Manara ni limbukeni wa mapenzi kitakachomkuta kwa Zaiylissa asiseme hatukumwambia

Ndicho alichoambiwa na mzee yusufu hicho , asipoangalia kila demu atamkimbia, Mzee yusufu alimwambia wanawake wanachotaka kitanda kipige kelele hawakufuata pesa hao 😂😂😂😂😂😂kama uwezo kitandani zero utaishia kulalamika tu ,kila mwanamke atakuacha
Na ataishia kuona wanawake wabaya wakati yeyw ndio mbayaa
 
Ndicho alichoambiwa na mzee yusufu hicho , asipoangalia kila demu atamkimbia, Mzee yusufu alimwambia wanawake wanachotaka kitanda kipige kelele hawakufuata pesa hao 😂😂😂😂😂😂kama uwezo kitandani zero utaishia kulalamika tu ,kila mwanamke atakuacha
Ila mkuu kama wewe sio Lokole basi ni shosti ake,unatupaga za ndaaaaaaani kabisa.
 
Manara ana miaka 50+ anajifanya kijana yupo sawa kiumri na kina platnumz!!

Nilichogundua mimi manara hakuwai lbda kumiliki madem wa kali enzi hizo kwahyo bado ana ule ushamba wa wanawake ndomna sasa anatumia nafas hii aliyonayo.

Jamaa hanaga aibu kabsa kwa umri wake ule
 
-896710124.jpg
 
Back
Top Bottom