Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #81
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeona.Hahaha kuna uzi wa manara sjui kawa
Msemaji tigo, kuna mdau kakutag huko [emoji1] kaandika hence mtanashati
Soma hiyooo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeona.Hahaha kuna uzi wa manara sjui kawa
Msemaji tigo, kuna mdau kakutag huko [emoji1] kaandika hence mtanashati
Soma hiyooo
Ova
Tarehe 23 kitawaka Saudi Arabia.Hahaha kuna uzi wa manara sjui kawa
Msemaji tigo, kuna mdau kakutag huko [emoji1] kaandika hence mtanashati
Soma hiyooo
Ova
Kabisa yani .Jamaa kitandani zero ataishiwa kuchapiwa pia tu kama alivyokuwa anachapiwa yule rushaynah
Ivi mkuu wanaoneshaga chanel ipi boxing za majuuTarehe 23 kitawaka Saudi Arabia.
Anthony Joshua vs Otto Walin, Deontay Wilder vs Parker wengine watakaopanda ulingoni siku hiyo kuna Bivol ,Daniel Dynamite Dubois etc.
Main card AJ vs Walin ,supporting main card Wilder vs Parker.
Kwa maoni yangu supporting main card itakuwa kali kuliko main card.
Aise si mchezoTarehe 23 kitawaka Saudi Arabia.
Anthony Joshua vs Otto Walin, Deontay Wilder vs Parker wengine watakaopanda ulingoni siku hiyo kuna Bivol ,Daniel Dynamite Dubois etc.
Main card AJ vs Walin ,supporting main card Wilder vs Parker.
Kwa maoni yangu supporting main card itakuwa kali kuliko main card.
Waarabu wameamua kuteka michezo yote .Nadhanj hata fight ya Oleksandr Usyk na Tyson Fury itafanyika pia Riyadh Saudi Arabia.Aise si mchezo
Ova
Mwisho mwema Insh-Allah.Mungu amuongoe na amtoe huko aliko na awe tuwe na Mwisho wa mwisho