Hizo mtapata Mtani.Hahaha leteni statistics za watu kwanza
Na mapato pia.
ππππ tutajua siku hiyo ikifika Mtani.Balinya sibomana; wataweza kupenya kweli mbele ya kina shiboub, na fraga.
Kama Jana walikuwa wana luka luka.
π π π hiyo mpatie Dada yangu Shunie.Sema lazima nikuchukulie kazawadi kauzi
Afadhali umekuwa mkweli Mtani.Hahahaha vyovyote mtani ili kuja kukabiliana na propaganda zenu
Gap ilijaa hiyo..mda huo watu bado walikua wanaingia kwa kasi sanaFyoko fyokoooooβ¦!!
Mjaze uwanja mtambe�?View attachment 1172777
Ndio ndioAfadhali umekuwa mkweli Mtani.
HasiraπππFyoko fyokoooooβ¦!!
Mjaze uwanja mtambe!!??
Number of Candidates tena duuuh.....au ulitaka kusema Attendants..... Basi sawaIvi kwanini kamati ya maandalizi ya match haituwekei idadi ya watu walio ingia kwa siku ya janana siku zingine ili tujiridhishe kwamba uwanja umejaa kweli sababu uwezo wa uwanja ni watu elf 60.
Je hiyo idadi ilifika kweli? Na katika match zote ambazo simba anajitapa kujaza uwanja pamoja na kwamba hadi walishusha kiingilio kikawa buku 2.Je,hiyo idadi ya watu elf 60 ilifikiwa?
Mbona watanzania bado tuko nyuma mambo ya kuoneshwa vipande vipande vya uwanja na camera za tv eti uwanja umejaa ni kutufanya watoto bali saizi mfumo inatakiwa ubadilike tuwekewe number of candidates tujiridhishe mbona uraya wanafanya ivo sisi tunafail wapi kwani mfumo wa ticket za kielectronic haujaanza kutumika?
yap!ahsant kwa usahihishoNumber of Candidates tena duuuh.....au ulitaka kusema Attendants..... Basi sawa
Ukiwa muongo unatakiwa uwe makini sana, hii ilikuwa sportpesa cup, Jana yanga hajavaa jezi ya kijani kwa taarifa yako,
Manara nashangaa kuendelea kuwepo Simba hadi leo. Aibu imekukuta kaka.
hii ilikuwa sportpesa cup, Jana yanga hajavaa jezi ya kijani kwa taarifa yako,
Unatoa perfume ya shiling laki moja kwa uchumi huu wa bongo anunue nani,wakat body spray yenyew inatosha haraf asaiv tunaipiga hata kwenye shati na inanukia siku nzima, Nakumbuka kipind wanatoa zile perfume nilikuwa najisemea what's wrong with this guy hawajifunzi tu....mchina anatoa body spray inaitwa Samsung SII na anauza vibaya mno kwa walala hoi kwanin usicheze na hao wa hari ya chini upate faida kwa haraka haraka tu...Tatizo shule kaka,na hawataki kuajiri wasomi ili wawasaidie. Wanaona umaarufu ndo kila kitu. Mwana FA shule ipo. Ana Msc ya finance au marketing kama sikosei. Kwanza Haji hakutakiwa kufanya lisherehe likubwaaaa.Tatizo showoff pia.
Wangejifunza hata kwa babu wa Loliondo kikombe shilingi miatano tu alipata wateja wa matabaka yote.Alijua jina Haji manara ndo litauza.Akijiona ana followers 1m Insta basi anajua sijui wote watanunua.Perfume laki moja imekuwa Chanel?Unatoa perfume ya shiling laki moja kwa uchumi huu wa bongo anunue nani,wakat body spray yenyew inatosha haraf asaiv tunaipiga hata kwenye shati na inanukia siku nzima, Nakumbuka kipind wanatoa zile perfume nilikuwa najisemea what's wrong with this guy hawajifunzi tu....mchina anatoa body spray inaitwa Samsung SII na anauza vibaya mno kwa walala hoi kwanin usicheze na hao wa hari ya chini upate faida kwa haraka haraka tu...
Mfano mzuri hawa wahindi na waarabu wanaotuuzia maji,sijui energy drink za michanganyiko hata hatuijui basi kijana Hillary akaja kucheza nao na Hill water mbona wanacheza mziki wake asaiv ndio akili inayohitajika cheza nao huko huko waliko kwa akili nyingi
Kwa maoni yako lakini!!!Jerry na manara wote wapumbavu tu
Nauliza Mtani kwani juzi tulivaa jezi za kijani?
Hakukuwa na kiingilio cha buku, minimum ilikuwa 5000Pamoja na kiingilio kuwa buku,viti kibao vipo wazi
Tunaomba picha za magepu hayo mkuuMagepu uwanjani yalikuwa kibao