Manchester United kuna mapungufu gani mpaka tunafungwa?

SIMPLY "not organized" watu wanacheza kama kina "kaoge" 11 wako uwanjani wamevaa jezi nyekundu
 
Pale mbele wanatakiwa waanze cadabra,rooney na Pogba alafu katikati herera, carick na yule wa dotmund
 
wadau hebu tujadiliane ni kipi kimetukumba hadi tunacheza mpira kama wa ligi daraja la 3
Kwamkweli hali nimbaya kupita maelezo ule cyo mpira kbs yaan kheri ya van gaal mpira unaonekana lkn mnakosa matokeo ila kwa hz mechi mbili kwa hii performance cjui labda kuna mshirika katoa point naona km ina mashiko pogba apande juu chini awe anaanza carick au schnedelin la cvyo,so sad aiseee
 
ET KAMA POGBA INGEKUWA NI BIA

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
PIGAAAAAAAAAAAAAA
MBWAAAAAAAAAAAAA
 
nimeanza kumkumbuka hadi LVG mpira tulikuwa tunacheza na combination ilikuwepo sema forwads hatukuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…