I feel your pain bro 😂
 
SIKIENI AKILI YA KOCHA RÜBEN AMORIM.

[emoji2788]" Kama tukijaribu kushinda michezo na kutohatarisha chochote kwenye muda huu , Nina uhakika mwaka ujao kwenye hatua kama hii tutakuwa na matatizo yaleyale "

" Inabidi tutengeneze wazo jipya na tujaribu kuwa bora "

Mwalimu anaongea kiakili sana lakini fujo za mitandao ambazo hazifiki hata Kenya zitasema United ni timu ya Ushindi .

Lakini Rüben hataki ushindi wa morali za Wachezaji, vipi siku morali zikiondoka na Kocha umezoea morali na sio mbinu , ndio yale yaliyowashindwa Ole na Eric.

Wote walitegemea fulani leo anaamkaje au timu inaamkaje . Lakini ukiishi kwenye mbinu basi hata mchezaji akileta makuzi ni mbao na mwingine anakaa .

Respect Rüben Amorim [emoji837]

Shirad21
 
[emoji599][emoji599][emoji2424]| Ruben Amorim: "I think my players were thinking too much during the game. You could feel it. Just two days [with the full squad]."
 
[emoji599][emoji599][emoji2424]| Teddy Sheringham: “I think he’s [Ruben Amorim] got to get into their [players] minds about what it takes to play for #mufc. Even when you go away to places like Ipswich, you’re expected to show the desire to try and win the game right until the last minute, even if it’s not going to go your way. I think there were people there happy to get a draw.”
 
[emoji599][emoji599][emoji2424]| Roy Keane: “It's his [Ruben Amorim] first game. A lot to take in and it has been a mental week for him [Amorim] but ultimately he will be disappointed.”
 
[emoji599][emoji599][emoji2424]| Ruben Amorim: "You have to control the ball [after scoring so early], control the tempo of the game. We cannot do it at the moment but they really tried. They really tried and they want this."
 
[emoji599][emoji599][emoji2424]| Roy Keane: “We saw the shape of the team but it is the same players and same problems. We talk about leopards and spots. Lack of goals and lack of quality in the second half. Ipswich looked the better team.”
 
[emoji599][emoji599][emoji2424]| Ruben Amorim: “If you see the first half, you can see that they [#mufc players] are a little bit afraid. [Morsy] was always alone. We have to jump on him. Hutchinson was always in the dead space, Jonny Evans should be pressing his guy, but we had two days [training] so they are confused a little bit.”
 
[emoji599][emoji599][emoji2424]| Ruben Amorim: “We have to put in their [United players] heads the structure, then we will play so much better. We need time to do that.”
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu Harmorapa hana muda mrefu ataanza kuikumbuka timu yake ya Sporting Clube de Portugal, hii Man Utd yetu ni kama roba la misumari kila ukijitahidi kulibeba vizuri na lenyewe ndio linazidi kukutoboa.
Ndani ya muda mfupi tu Ruud van Nistelrooy alikua ameshaanza kutengeneza chemistry ya timu na kila mechi tulikua tunapata matokeo ya kuridhisha, vile uongozi wa timu haupendi kuona mashabiki tukiwa na furaha ya kudumu badala ya kumpa Nistelrooy muda mpaka dirisha dogo, tumemtimua na kulazimisha kumleta Amorim ambae aliomba apewe muda mpaka mwisho wa msimu ndio aje Utd.
 
#MICHEZO: Nyota wa Liverpool raia wa Misri Mo Salah amesema anakaribia kuondoka klabuni hapo kutokana na mkataba wake kufikia ukingoni

“Tayari tunaikaribia Disemba lakini sijapokea ofa yeyote mpaka sasa ya kuongeza mkataba na kuendelea kusalia hapa , naipenda sana Liverpool nawapenda mashabiki wake na kwangu mimi haijawahi kutokea klabu bora kama Liverpool lakini mwisho wasiku hili lipo nje ya uwezo wangu’’ Mo Salah

Nyota huyo mwenye umri wa miaka 32 mkataba wake utafika tamati Juni 2025 alijiunga na Liverpool 2017 akitokea AS Roma mpaka sasa ameisaidia klabu yake kubeba EPL 2020, UCL 2019 na msimu huu amecheza mechi zote 12 ndani ya EPL huku akifunga magoli 10 na assist 6 na kuiweka klabu yake kileleni mwa msimamo wa ligi.

#Michezo #Hainakuchoka #EastAfricaTV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…