Manchester United (Red Devils) | Special Thread
šŸ”µšŸ‘€ Pep Guardiola: ā€œI have the feeling that this season we will do very, VERY GOOD thingsā€.

ā€œI don't give up, and I have the feeling that we will be thereā€.
 
Ruben amorim amekuja kumnyoosha kipara wa mancity.
Hatafanikiwa kwa sababu 90% ya kikosi chake hakina Tena future.

Ruben Amorim anatakiwa aanzishe project mpya kwa kuwatumia.

Onana, Maguire, Yoro na Lisandro na Mazroui kwenye defence yake.

Midfield ambakize Ugarte na Mainoo peke yake wengine aingi pale academy apate wachezaji wawili watatu.

Kwenye attack huku fumua wote Leta watu wanaoweza kutumia akili badala ya nguvu.
 
Jamaa wapo organized vibaya mno wanapress kwa pattern inaonekana kabisa Wana speed Yani dah safi sana. Nafurahi kuwaangalia kwa kweli hapa ndo naona kipara alikua tapeli ila Hawa Manchester kazi kocha anayo Tena kubwa sana. Wavivu ni wengi mno
Tatizo halikuwa kocha
 
Hatafanikiwa kwa sababu 90% ya kikosi chake hakina Tena future.

Ruben Amorim anatakiwa aanzishe project mpya kwa kuwatumia.

Onana, Maguire, Yoro na Lisandro na Mazroui kwenye defence yake.

Midfield ambakize Ugarte na Mainoo peke yake wengine aingi pale academy apate wachezaji wawili watatu.

Kwenye attack huku fumua wote Leta watu wanaoweza kutumia akili badala ya nguvu.
Hilo nalijua inahitaji mda Kwa amorimi maana tuna wachezaji wengi walio wavivu sana na Kwa hii beki tatu yake anahitaji kubaki na prayer watakao fiti kwenye mfumo wake tu.
 
Kocha la ball huyu hapa anaenda zake Leicester City kukabidhiwa mikoba ya Steve Cooper.

"Jiwe walilolikataa waashi Linaenda kuwa jiwe kuu la pembeni. Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu."

0_Ruud-van-Nistelrooy-File-Photo.jpg
 
Back
Top Bottom