Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
J5 tunawala tunda kimasihara hawaInashangaza sana, afu kwa midomo hawatoki kwenye page ya arsenal
Sijajua kwa nini hii mikocha ya Man U inakuwa na kiburi kiasi hiki. Ubora wa Hujlund hasa mechi ya mwisho ni wa kumuanzishia benchi? Jinga kabisa nalo hili najua limekuja na litaondoka kabla ya Mwaka mpya..
Nyama ziko chini.Sijajua kwa nini hii mikocha ya Man U inakuwa na kiburi kiasi hiki. Ubora wa Hujlund hasa mechi ya mwisho ni wa kumuanzishia benchi? Jinga kabisa nalo hili najua limekuja na litaondoka kabla ya Mwaka mpya..
Amad ni nomaKuna wachenzi walitaka kuvuta hela kwa Amad..
Wachenzi kabisa.
MOT kwa upande wangu
Garnacho na rashid ni wabinafsi sanaTen Hag maku kweli. Amad bonge la team player, mngese kama Garnacho akifika golini ni kujipigia tu hata kama kuna teammate yupo nafasi nzuri ya kufunga hatoi pasi.
Fvck you, Erik ten Hag.
Arsenal wapo vizuri tokea odegard amerudiGari limewaka, anafuata arsenal jumatano
Watakula 5.Mechi ijayo na arsenal.