Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Sijajua kwa nini hii mikocha ya Man U inakuwa na kiburi kiasi hiki. Ubora wa Hujlund hasa mechi ya mwisho ni wa kumuanzishia benchi? Jinga kabisa nalo hili najua limekuja na litaondoka kabla ya Mwaka mpya..
 
Sijajua kwa nini hii mikocha ya Man U inakuwa na kiburi kiasi hiki. Ubora wa Hujlund hasa mechi ya mwisho ni wa kumuanzishia benchi? Jinga kabisa nalo hili najua limekuja na litaondoka kabla ya Mwaka mpya..
Labda bado anajaribu kikosi ila hata Ugarte hakuwa wa kukaa bench leo
 
Back
Top Bottom