Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Mechi ya pili hii nyumbu dk ya kwanza waya afu zinarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana Messi hakafagilii hauko katotoHuyu garnacho mjinga sana
Hojlund kakiri mfumo kaupenda na hope unamfaa sanaRun! Run! Run, hichi kitu ndiyo kitawastaafisha baadhi ya man UTD players... Kwa mechi hizi mbili nimeona fitness yetu siyo ya kuridhisha kabisa, ndio maana karibu nusu ya timu baadae lazima iende benchi. Kitu kingine ambacho ni pasua kichwa ni midfield, Kwa jinsi ilivyo Hawa watu wawili wanahitajika kukimbia sanaaa, mkimbiaji natural ni mmoja tu ambaye ni ugarte, ugarte ambaye anaanza kurudi taratibu. Lazima tuongeze runners kweli kweli hapo katikati na fitness yetu iwe ya kiwango cha juu kabisa ya kuweza kucope na mikimbio yetu.
Taratibu utaona Kuna wachezaji wataomba kuondoka wenyewe au timu itawauza maana hawatofit kwenye system, hivyo unajiengua mwenyewe. Unaona Kuna magepu Fulani huwa tunayaacha sana, hivyo Kwa kuwa tupo kwenye mchakato naamini tutayaziba. Tuna mitihani miwili, inabidi tushinde na huku tunajenga timu, lazima viende sambamba, hivyo lazima Kuna moment za kutokucheza vizuri lakini tunashinda, at least some pattern unaziona.
Huyu utamfaa kwasababu Kwa system ya jamaa inalazimisha mara nyingi kupiga killer passes, magoli kadhaa unaona ni pasi zinatoka pembeni then forward anagusa tu.Hojlund kakiri mfumo kaupenda na hope unamfaa sana
GGMU
Endeleeni kujidanganya, ulishaona wapi kocha mhindi.Huyu utamfaa kwasababu Kwa system ya jamaa inalazimisha mara nyingi kupiga killer passes, magoli kadhaa unaona ni pasi zinatoka pembeni then forward anagusa tu.
Sidhani kama inakuhusu hii kama ww si fan wa hii timu, wewe unashabikia timu gani?Endeleeni kujidanganya, ulishaona wapi kocha mhindi.
Hivi vitoto sio vyema sana kuvizingatia mkuu. katakuwa man city timu ya juzijuzi hii.Sidhani kama inakuhusu hii kama ww si fan wa hii timu, wewe unashabikia timu gani?
Mimi Nyumbu lia lia, ila wametukosea sana kumuondoa kipara wetu na kutuletea huyu mhindi.Sidhani kama inakuhusu hii kama ww si fan wa hii timu, wewe unashabikia timu gani?