Huyu ZIRKZE ni mweupe, mweupe sana. Mlisema kabla ya hapa alicheza wapi?
 
Liverpool, Chelsea, Arsenal wote hao wamekumbwa na misukosuko na kutoka salama. Man Utd mnafeli wapi? ni ugonjwa upi huo unaowasumbua ambao kwa miaka 12 yote madaktari bingwa wameshindwa kuwatibu? Kwanini mnakwamisha formation ya ile original top four tuliyoizoea?
 
Hii mechi wote wanakimbia kama wana mawe miguuni.

Wote hawatoi pasi zikaeleweka.

Wote hawana plan.

Nyumbu wanaombea tu set pieces zisitokee basi
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda ili niwe na amani itabidi niache kutizama mpira wa timu yangu hii Man U. Kwa kweli hii siyo Machester United ni man u. Yaani wachezaji wetu ni kama vile mpira wamejifunzia mchangani na ninawasiwasi na uwezo wa ni mdogo sana pengine hata wa kiakili, yaani mchezaji hata kupiga pass hawezi, boli control hakuna, accuracy zero sijui huwa wanasajiliwa kwa vigezo vipi.

Kweli leo United tunacheza na Bournemouth sisi tunakuwa underdog? Hawa wamiliki naona hawako serious. Mchezaji kama Malacia anarukaru tu mule ndani. Huyu kocha kwa hawa wachezaji atadhalilishwa zaidi ETH, kwanza hakuwaleta yeye.

Huwezi ukawa na wachezaji wa timu kubwa ambao hawajiamini na hata chenga moja hawawezi piga. Ingepaswa January hii kocha apewa fangio afagie nyumba, hata Pep Gadiola alipokwenda City alifagia nyumba.
 
Kwa timu mbovu kama hìi ilipaswa wamuache Rud halafu huyu aje makani. Timu haina Straiker wa maana halafu unacheza 3-4-3. Kwa hawa wachezaji huu mfumo kila timu itatuua.
 
Hyu kocha mlipeni hela yake arudi kule sporting alipokuwepo.....kiukweli mtamzeesha msela wa watu kabla ya muda wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…