Huyu kocha wenu mjuaji sana ,halafu hajui hii EPL ,msingi physicality

Unamtoa Tinga Tinga Ugate ,unaacha pale kati

Mauno na Dibra Fernandez,hiyo kombo ni laini kama chapati za maji

Na hapo ndipo Iraiola akaongeza mtu mmoja anaitwa COOK ,

NYUMBU O B.MOUTH 3
 
Bora tapeli ETH alikuwa anabahatisha anaokota points ,akifika kwenye Carabao au FA cup alikuwa anaweka mziki wote

Huyo Tapeli Mourine ,analeta mambo ya Style of play, 3-4-3, double pivot, inverted winger kwa wachezaji Hawa kina Anthony Santos makudubela,Mauno ,Dibra Fernandez, Zaka zakazi Joshua mutale ,

Atachezea vipigo sana tu

Manjesta inatakiwa icheze ovyo ovyo ,papatupapatu ,imepigwa ndefu na Dibra Fernandez,Rashidi makame goal ,mechi imeisha
 
Nimepata taarifa hapa , wachezaji wa Manjesta wanakuja kwa Tapeli Bushiri kuombewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…