Ah yule mtu na nusu...hatari yule jamaa....akikutana na maguire sii ndio atamsambaratisha vibaya mnoPacome Zouzua is far better all MU stickers
Sure...alikupiga 8 huyu lazima umchukie.Man utd ifungwe tu huwa nafurahia mateso yao.
Hata kabla ya 8 huwa siikubali kabisa.Sure...alikupiga 8 huyu lazima umchukie.
Chelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbuKaka migos mnaongoza ngapi kwan
Mechi ya wolves wali heza uchwara hii mechi nayo uchwaraTangu jamaa abahatishe kwa Man City bc anaonekana kama masihi hapo matofali ya kuchoma π
Mwnyw nafurah sana, mwngn n arsenal nae akilambwa nafurah sana πMan utd ifungwe tu huwa nafurahia mateso yao.
Hamtoboi ndio kimelala icho.Chelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbu
Kocha hana uwezo ila wachezaji nao maandazi tuuMechi ya wolves wali heza uchwara hii mechi nayo uchwara
Mie nasema hawa wachezaji hawamtaki kocha sio kwa hii lack of effort and desire to perform.
Subir uone mkuu πHamtoboi
huyu slot wa liver katokea wapiKocha mwenye uzoefu mkubwa na timu kubwa sio makocha wanaochipukia kwenye ligi za kawaida.
man utd kwangu ndio roho inasuuzika kabisaMwnyw nafurah sana, mwngn n arsenal nae akilambwa nafurah sana π
π€£π€£π€£π€£Man utd wakishuka Daraja najitolea kumnasa makofi Mwakinyo popote pale atakapokuwepo....hii nitafanya kama nimejitoa Kafara kwa furaha nitakayokuwa nayo.
Kocha kaja anataka mfumo wa 3-4-3 wachezajinwenyewe wakina maguire π€£π€£π€£π€£ vichwa vizito kuliko ata mie backbencher.Kocha hana uwezo ila wachezaji nao maandazi tuu
Feyenoord Rotterdamhuyu slot wa liver katokea wapi
Pacome Zouzua is far better all MU sticker
Usitukane mamba mkuuMnamaliza mwaka kwa kipigo kizito, mnafungua mwaka kwa kipigo kizito zaidi π
na timu inaenda. hata hapo united mambo yanabidi yaende tu kuamini hawa makocha wote wanaokuja hawana uwezo hii mimi binafsi ntabisha sanaFeyenoord Rotterdam
Majimaji fc is better than Man utd[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi mna uhakika hii kweli ni Manchester United?
Isije kua tunashangilia Pamba United halafu mashabiki wenyewe hatuna habari.
Hili timu limetufanya mashabiki wake tumekua sugu wa vipigo.