Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Tangu jamaa abahatishe kwa Man City bc anaonekana kama masihi hapo matofali ya kuchoma 😂
Mechi ya wolves wali heza uchwara hii mechi nayo uchwara
Mie nasema hawa wachezaji hawamtaki kocha sio kwa hii lack of effort and desire to perform.
 
Kocha hana uwezo ila wachezaji nao maandazi tuu
Kocha kaja anataka mfumo wa 3-4-3 wachezajinwenyewe wakina maguire 🤣🤣🤣🤣 vichwa vizito kuliko ata mie backbencher.
Sasa jamani 3-4-3 ndio mfumo rahisi duniani kucheza. Tunashabulia 7 nyuma tunabaki watatu. Simple kabisa.

Huyu mazrawiii anaenda kaba ku,uia cross kama ana mbooo matakoni.
Wacha nikaale sasa ha.na mpira hapa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hivi mna uhakika hii kweli ni Manchester United?
Isije kua tunashangilia Pamba United halafu mashabiki wenyewe hatuna habari.
Hili timu limetufanya mashabiki wake tumekua sugu wa vipigo.
Majimaji fc is better than Man utd
 
Back
Top Bottom