kaa pemben 😁Mi nawaunga mkono dhidi ya Liver.
Umemkataa mapema sana😃kaa pemben 😁
Sitaki, hadi mshindekaa pemben 😁
😁Umemkataa mapema sana😃
Natabiri Leo man united anafungwa
w una gunduSitaki, hadi mshinde
Alipipi ndiyo ana gunduw una gundu
Zile 8Arsenal sasa kaingiaje hapa mkuu
Zirkzee ni wa kuanza mechi kubwa hii?Twende na hoja kwanini una muita tapeli?
Wewe unaangaliaga mpira kweli. Mechi yao ya mwisho ilikuwaje?Inapotokea mbungi ya livakuku na manyuu, liva huwaga hanaga huruma kabisa.
Yake majamaa yao hayachoki kufunga!
Kuna Diaz,salah na wale wahuni wengine huwa kama wanawakomoa nyumbu.
0-3Wewe unaangaliaga mpira kweli. Mechi yao ya mwisho ilikuwaje?
Joshua kama Joshua.
mambo za ten hag tapeli😁
Hamna timu yakupambana na liva.Wewe unaangaliaga mpira kweli. Mechi yao ya mwisho ilikuwaje?
Mi nahitaji tushuke daraja mambo ya usajili sitaki hata kusikiaHivi hili saga la Dani Olmo limekaaje pale Barca?
Kama kuna uwezekano tuangalie namna hata ya kumuazima ili amsaidie Bruno maana jamaa namkubali sana sijui kwanini alidumu sana pale Leipzig na form yake ile.