Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupo bize kuchat na norwich atupokeeSasa ili msishuke daraja nikamatieni Liverpool,a.k.a TASAF ,a.k.a DAWASA
jamaa wanamwaga maji sio poa 😂😂
Wanaojadili kushuka daraja timu wote ni vilaza.Hivi manjesta serious wameingia kwenye mjadala wa kushuka daraja?😂😂😂
Wamalize msimu wakiwa 17. Hiyo itapendeza vizuri tu.Kama crystal palace atamkafua Chelsea kisha na nyinyi mkakafuliwa na liverkuku basi moja kwa moja mtakuwa wa 15, wa nyuma yenu everton ana mchezo mmoja mkononi, inabdi mumuombee apoteze. La sivyo kuna hati hati ndani ya mwezi huu mkawa wa 17.
tutapiga bounce back kama leicester 2014/15 kapgana asishuke daraja 2015/16 akawa bingwa wa epl😁Wamalize msimu wakiwa 17. Hiyo itapendeza vizuri tu.
Unachosema kinawezekana kwa kuingia top 4 sio kushinda leaguetutapiga bounce back kama leicester 2014/15 kapgana asishuke daraja 2015/16 akawa bingwa wa epl😁
hata leicester hatukutarajiaUnachosema kinawezekana kwa kuingia top 4 sio kushinda league
Mkuu si ungeandika tu kwa kiswahili duh hyo inglishi kiboko😅Wanaojadili kushuka daraja timu wote ni vilaza.
Kwa sababu hizi
1. Match played 19 remain 19
2. Man utd points 22 above PD average 1 and 2 consecutively
3. Man united giancy rich club can buy players
4. Man united is aware of FFP
Jadili kwamba timu haitasogolea top 4 and not relegation stupid
Hata hyo top 4 isahau yaan unawaza kabisa top 4😂😂😂😂Unachosema kinawezekana kwa kuingia top 4 sio kushinda league
lakin si umeelewa 😁Mkuu si ungeandika tu kwa kiswahili duh hyo inglishi kiboko😅
Mkuu si ungeandika tu kwa kiswahili duh hyo inglishi kiboko😅nikweli mkuu
Twende chini tukaanze mojaWanaojadili kushuka daraja timu wote ni vilaza.
Kwa sababu hizi
1. Match played 19 remain 19
2. Man utd points 22 above PD average 1 and 2 consecutively
3. Man united giancy rich club can buy players
4. Man united is aware of FFP
Jadili kwamba timu haitasogolea top 4 and not relegation stupid
KwikwikwikwiiiiiUnachosema kinawezekana kwa kuingia top 4 sio kushinda league