Katika mashabiki wa nyumbu wewe ndiyo umeandika kitu reality mno.

Ila kwanini Hakika Ruben haoni kwamba abadili formation kwakua hana wachezaji wa hivyo hilo ni swala la siku nyingine
 
Msimu wakati unaanza Onana akasema amejiandaa kutake risk. Antony akasema huu mwaka tutamkoma.

Mpaka jana Onana kafanya errors zilizopelekea magoli 10 na Antony anaenda kwa mkopo Real Betis
 
Msimu wakati unaanza Onana akasema amejiandaa kutake risk. Antony akasema huu mwaka tutamkoma.

Mpaka jana Onana kafanya errors zilizopelekea magoli 10 na Antony anaenda kwa mkopo Real Betis
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Eti unamfunga Southampton kwa bahaaaaati bahaaaaati halafu eti unajiona unajua bolu.

Kesho tu unakutana na katoto kadogo Brighton kanakucharaza na kukukumbusha kuwa wewe Huna lolote unalojua
Kwan Southampton na arsenal walitoka ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…