newcastle au?🤔Mbona hatusajili.
Sisi man u mbona hatusajilinewcastle au?🤔
😁 si ulihamaSisi man u mbona hatusajili
Hii mechi si nyepesi hata kidogo, ila napenda tushinde.
Saa ngapi?Hii mechi si nyepesi hata kidogo, ila napenda tushinde.
Hii watashinda hiiSnitch nimefika. Lile ndondocha halijatabiri kitu mnaweza kushinda leo
Kwa wachezaji ninaowajua wa Fulham wenye pace ya kuizunguka defense yao ya back 3 naona ni Iwobi na Emile. Inawezekana leo wakawa wagumuHii watashinda hii
😁