Hamad ni yupi shekhe!Kobe maino
Delgt
Mazurui
Hamad
Dalot
Lindof
Rashford
Antony
Hizi takataka zinatakiww Ziondoke msimu unaoisha
Hii United hata haijulikani shida nini!mnaonaje wazo la kumrudisha tena mtaalamu David Moyes ili aokoe jahazi lililotoboka
Kobe maino
Delgt
Mazurui
Hamad
Dalot
Lindof
Rashford
Antony
Hizi takataka zinatakiww Ziondoke msimu unaoisha
Hukumbuki mechi ya mwisho liva na man u ilikuwa kidogo tu jogoo anyonyolewe. Man u hawajitumi kila mechi, hawana malengo ambayo wanayapambania, ni wanakamia mechi mojamoja tu.Hii United hata haijulikani shida nini!
Imagine wachezaji wa everton wanavyokimbia uwanja mzima kuwazuia liverpool, ila united hatuwezi hata kukaa na mpira daki 2 tu!
Hata angekuja marmush wa city angekuja kuwa takataka tu. Ronaldo alisema shida siyo samaki shida ni aquarium.Nataman hii timu ishuke daraja kumamakeh.
Namuangalia huyu mmisri anavokiwasha man city hapa, hivi hata skaut wa hii timu mbovu ya man utd walishindwa hata kumjua ama kumuona huyu mchezaji
Wanakumbatia mashoga akina rash ford na wapuuzi wengine ...ila mwaka huu lazima akili zikae sawa
Yule mzee ni wa kufundisha westham na Cardiffmnaonaje wazo la kumrudisha tena mtaalamu David Moyes ili aokoe jahazi lililotoboka
Siyo poa. Dogo anakipaji.BREAKING: Amad could miss the rest of the season with ankle ligament damage suffered in training. He's still being assessed but faces a lengthy layoff. [@ChrisWheelerDM] #mufc