heeee,ooooh, heeee,ooooh!
Watu taratibu utasikia vikombe vinne hivyooooo
Yani mechi ya leo ningekuwa na afya mgogoro Kama ya mbu mngeshaita ambulance(joking)...final hiyo nishaiona.
Yani mechi ya leo ningekuwa na afya mgogoro Kama ya mbu mngeshaita ambulance(joking)...final hiyo nishaiona.
Gud game na mnakutana na Arsenal sasa hiyo ni shughuli nyingine..Man Utd fans mtakuwa happy leo kina Idimi,Icadon,Nziku,Belo,Manda,Bontowar,snt na wengineo........Congrats!
...Belo unampa hongera bure tu mapema hii, huwa haji humu wakati game ipo Live, sijui ndio mganga wake alivyomwambia?
Sasa my defense is back and we are to skin arsenal! Mbu get used to it maana that's how it's gonna be .
Hongera my fellow Red Devilians
...iweke kwenye Diary yako hii!
April 29th, 2009, siku ya Jumatano!
Man U fans, congratulations for the earned victory.
Icadon,Idimi,Manda, Roya Roy et al... de ja vu ya mwaka jana
inanukia!
Thanx Ab..
Hopefully Moscow itahamia Rome. Nyie komaeni na Barca na si tutawasqueez ganaz
Devilish Man Utd, mi sina la zaidi. Gunners walie tu.
Man U fans, congratulations for the earned victory.
Icadon,Idimi,Manda, Roya Roy et al... de ja vu ya mwaka jana
inanukia!
Gud game na mnakutana na Arsenal sasa hiyo ni shughuli nyingine..Man Utd fans mtakuwa happy leo kina Idimi,Icadon,Nziku,Belo,Manda,Bontowar,snt na wengineo........Congrats!