Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Ronaldo kwa ku dive ni kiboko,Barbatov leo kafunikwa.
 
Hawa jamaa wanaofungana migoli 8 mechi moja ndio wanatuletea ukame wa magoli sasa
 
ana dive kivipi au ni kwa ajili ya mvua

No, alikuwa shoulder to shoulder na Cissoko lakini alivyojirusha utadhani amekumbwa na kimbunga na ukweli ukiangalia replay yeye ndo alijigonga kwa mchezaji mwenzake na kujirusha utafikiri amegongana na nini sijui...Ama hutaki Ronaldo hujiangusha hovyo sometime?
 
No, alikuwa shoulder to shoulder na Cissoko lakini alivyojirusha utadhani amekumbwa na kimbunga na ukweli ukiangalia replay yeye ndo alijigonga kwa mchezaji mwenzake na kujirusha utafikiri amegongana na nini sijui...Ama hutaki Ronaldo hujiangusha hovyo sometime?

huwa ana kwaida hiyo but anasaidia saana nipo kwa net hapa vipi lakini uwezo wetu kwa beki wetu na roony kimya
 
Evra leo toka awali nimeona kiwango chake hakiko mahali pake,sema kutokana na uwezo wake,bado inamuwia Fegurson kumbadili.
 
jmushi upo sawa kabisa yaani kila mpira unapokuwa upande wake mie presha juuu dah nimemwona dogo macheda anapasha nje kule
 
Evra leo toka awali nimeona kiwango chake hakiko mahali pake,sema kutokana na uwezo wake,bado inamuwia Fegurson kumbadili.

Sasa Sub zetu c ndio hizi Foster, Neville, Evans, Nani, Scholes, Tevez, Macheda

sasa akitoka Evra ataingia
 
Nani kamreplace Barbatov....Dakika ni ya 68...Ngoma bado wan nili.
 
Yupo ila naona nae atafanyiwa sub soon kidogo hayupo vyema nae
 
Na Rooney Vpi nasoma huku hata jina lake sioni
Yupo ila naona nae atafanyiwa sub soon kidogo hayupo vyema nae
Nani kamreplace Barbatov....Dakika ni ya 68...Ngoma bado wan nili.
Sasa Sub zetu c ndio hizi Foster, Neville, Evans, Nani, Scholes, Tevez, Macheda
sasa akitoka Evra ataingia
jmushi upo sawa kabisa yaani kila mpira unapokuwa upande wake mie presha juuu dah nimemwona dogo macheda anapasha nje kule

...ulizaneni mishamaliza angalieni matokeo ya Emirates Stadium, (tutakutana semi final!!!)....

ARSENAL 3 - 0 VILLAREAL
 
haya bwana mbu naona leo mmewaokota hao tena kuna dalili mnaweza piga hata tano kwa jinis nilivyochungulia game hayo
 
Scholes ana mreplce Anderson,na sasa nina imani linaweza kuwa kosa,anyways dakika ya 78,tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom