...
....Gunnerz will be Back!
Gunners have to sell wenger for them to come back.
Mzizi wa fitina umekatwa sasa, hakuna ubishi tena! Man oyeeeeeeeeeeeeeeee!
Mmmmh Gulp Gulp nimeamka baada ya match matokeo ndo vile tena tumeshindwa home ground... kwa HASIRA KESHO mimi nipo BARCA... Najua shujaa wetu Henry atatunyanyua fainali... Arsenal wooooye,BARCAS/Henry Woooyeeeeeeeeeeeeeeeeeee... Blurp ZZZZzzzzzzzzz....!!!
Pole sana ,endelea kutengeneza timuKumbukumbu zangu zinaniambia mwaka jana Arsenal alimvua ubingwa AC Milan..mwaka huu sijui atamvua nani ..lol
SASA TUNASUBIRI FAINALI AJE BARCA AU CHELSEA ni kutoa dozi
Hongereni sana mashabiki wote wa MAN UNITED
Sisi aje yeyote yule atapata dozi yake tukiingia na Barca tunawaondoa within 90 minutes na tukiingia na Blues dawa yao kuwabana hadi penati then tunawamalizaCongrats to Manure fans and I pray that you Barca in the final [no malice to Chelskum]
Yesterday, the game showed how maturity is key especially in big games!!!
Ile red card ya Fletcher ilikuwa totally unfair nasikitika sana jamaa atakosa fainali
.....Gunners have to sell wenger......
Teh teh teh!Mmmmh ....tumeshindwa home ground... ...
Nadhani wahusika wataliangalia na kuibatilisha hata hivyo itategemea sana ripoti ya refa. Mimi natumaini refa atakiri kutenda kosa, hivyo Flecher anaweza kucheza final game.
Ilikuwa game nzuri na tuliwafunika idara zote,Evra alimbana Walcott,Rio kambana Adebayor na kina Anderson,Fletcher na Carick wakamaliza pale katikati nafikiri Fergie now anaanza kutengeneza hii combination sababu kina Scholes wanategemea kustaaafu
Ile red card ya Fletcher ilikuwa totally unfair nasikitika sana jamaa atakosa fainali
SASA TUNASUBIRI FAINALI AJE BARCA AU CHELSEA ni kutoa dozi
Hongereni sana mashabiki wote wa MAN UNITED
Sisi aje yeyote yule atapata dozi yake tukiingia na Barca tunawaondoa within 90 minutes na tukiingia na Blues dawa yao kuwabana hadi penati then tunawamaliza
Ilikuwa game nzuri na tuliwafunika idara zote,Evra alimbana Walcott,Rio kambana Adebayor na kina Anderson,Fletcher na Carick wakamaliza pale katikati nafikiri Fergie now anaanza kutengeneza hii combination sababu kina Scholes wanategemea kustaaafu
Ile red card ya Fletcher ilikuwa totally unfair nasikitika sana jamaa atakosa fainali
SASA TUNASUBIRI FAINALI AJE BARCA AU CHELSEA ni kutoa dozi
Hongereni sana mashabiki wote wa MAN UNITED