hawa mashetani hata hawachezi vizuri....lakini wanashinda....inaudhi sana kwa kweli
with man u you'r always happy
Ahsante kwa picha mtani..hawa Ruskies na uwanja wao wa nyasi za plastic walitushika koo lakini naona waliachia.
Karibu sana mtani wangu...umeniacha hoi na hio kauli ya
nyasi za plastiki...😀
Ferguson felt his team had produced a professional performance on the Luzhniki Stadium's artificial pitch.