Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,071
- 306
hawa mashetani hata hawachezi vizuri....lakini wanashinda....inaudhi sana kwa kweli
Lol...uzuri ni kwamba umejiuliza na ukajijibu...mwendo ni ule ule.
NB; Na marafe 'wetu' pia, ndio maana Looserpool amezidi kudidimizwa na marefa 'wa-Manutd"