Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
Haya mkuu mzee wa Arsenal...ligi itakuwa nzuri MAN U akipoteza mechi nyingine na Chelsea na Liverpool wasipoteze!
Exactly, matokeo ya jana nimeyafurahia kwa kuwa yana i keep league exciting, kama mngeshinda jana kungekuwa na uwezekano mkubwa ndo mngekuwa mshashinda ubingwa hivyo.