hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Yule alianzaga kusema mapema kabisa ,sijui yupo wapiYule jamaa aliekuwa anasema kipara ni jasusi huenda anajua mengi yaliopo nyuma.
View attachment 3188930
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alianzaga kusema mapema kabisa ,sijui yupo wapiYule jamaa aliekuwa anasema kipara ni jasusi huenda anajua mengi yaliopo nyuma.
View attachment 3188930
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mabaga Junior Chelkenge mmepata ushindi wa goli ngapi mkuu?Chelsea tumelambwa kimoja ila tunakirudisha hiki na ushindi juu, amini maneno yangu mana Mm sio mhuni kama mashabiki wa nyumbu
Unatuchukuliaje Ken Gold yetu wana Chunya?***** naye Chelsea huko chali.
Vidude viwili kama sisi tu. Na bora sisi tumepigwa na mkubwa mwenzetu, Chelsea kapigwa na Ken Gold ya uingereza.
Hizi timu zote zifanye tour kwa Pastor Sunguye
🤣🤣🤣Eti mabaga junior,nimecheka Hadi nimepaliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mabaga Junior Chelkenge mmepata ushindi wa goli ngapi mkuu?
😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mabaga Junior Chelkenge mmepata ushindi wa goli ngapi mkuu?
Atakuwa kama villa msimu wa janaEpl kwa ma surprise inaongoza naona Nottingham Forest kakaza matako kweli kweli anataka aende Uefa
😂😂😂Kocha anachuchumaa mara nyingi kuliko mechi alizoshinda 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Epl kwa ma surprise inaongoza naona Nottingham Forest kakaza matako kweli kweli anataka aende Uefa
Leo newcastle wamekuwa wakubwa wenzenu ? Ama kweli zama zimebadilika,Mamamaeee naye Chelsea huko chali.
Vidude viwili kama sisi tu. Na bora sisi tumepigwa na mkubwa mwenzetu, Chelsea kapigwa na Ken Gold ya uingereza.