Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Mwisho wa Msimu mambo yatakuwa kama hivi,

1. Liverpool atakuwa ameshafikisha mapoint kibao(Bingwa tayari)

2. Arsenal atakuwa kwenye vita kali ya kupambania nafasi yake ya Tatu hapa ndo msemo wa linda ulichonacho utaanza kazi.....Tumaini la ubingwa litapotea kabisa

3. Nottingham atakuwa kila mechi anacheza jihad ili tu kusalia nafasi ya pili

4. Chelsea,Tottenham,aston vila, man city na takataka nyingine zote hao watakuwa kwenye vita kali sana watarogana, Kupigana mabuti, fukuza fukuza ya makocha itashamiri mwisho wa msimu hii yote itasababishwa na kugombania tonge la Nne(Nafasi ya nne)

5. Man utd itakuwa kwenye vita kali na wakina ipswich na Leicester wanagombana wasishuke daraja,

Yani hapo Mbungi litapigwa Man utd atahonga hata VAR zisiletwe uwanjani... ili tu abakishwe Epl asiende mchangani. Kwa dokezo tu kipindi hiki Gabachori wenu Amorim atakuwa anapangiwa kikosi na yule kocha wenu Van ndame.
Namba 5 umenifanya nicheke kwa nguvu alafu ni usiku eti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wachezaji ni wazembe lakini pia huyu kocha anacheza sana kamari kwenye upangaji wa kikosi.

Ndio anatafuta wachezaji wanaofaa ila wasiwasi wangu hii ni EPL, asije akajikuta ameshuka daraja.
 
Kuna watu hawana bahati duniani.

Mfano Pele, alikua akisema timu Fulani inashinda basi ujue inapigwa.
Akisema Timu hii inachukua kombe basi hata makundi haivuki.

Hii bahati mbaya ndiyo anayo alipipi. Mzuieni asiendelee kutabiri matokeo in favour ya united, bora atabiri mnafungwa ili awe kafanya kinyume
Mkija kushtuka mtakua mmechelewa sana
 
Timu hii ikifungwa na kuicheka mnapata dhambi, ni kama vile kumcheka mgumba kupitisha mwaka mwingine bila mtoto, ni dhambi.

Na nyie man u achaneni na hao matapeli, kina HAKIKA REUBEN, njoonj mumchukue anko JUMA MGUNDA nawahakikishia mtacheza conference league 🤣😂..
Jaribuni kina pacome, kapombe, abdulrazaq hamza, fei toto, max nzengeli watawasaidia saana.
 
Bambucha nini kimemkuta
20241231_000219.jpg
 
Unaambiwa jana Joshua anatolewa dakika ya 33 mashabiki wanashangilia wengine wanamzomea Joshua.

Shida siyo hii. Shida ni hawahawa ndiyo walishangilia na walio mitandaoni wakampamba. Tunarudi palepale aliposema Pogba "Mashabiki wa Nyumbu hawajui mpira"
 
Nilisoma kumbe ujinga mtupu
Timu hii ikifungwa na kuicheka mnapata dhambi, ni kama vile kumcheka mgumba kupitisha mwaka mwingine bila mtoto, ni dhambi.

Na nyie man u achaneni na hao matapeli, kina HAKIKA REUBEN, njoonj mumchukue anko JUMA MGUNDA nawahakikishia mtacheza conference league 🤣😂..
Jaribuni kina pacome, kapombe, abdulrazaq hamza, fei toto, max nzengeli watawasaidia saana.
 
Back
Top Bottom