Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepambania sana hili swalaImeniuma mpaka leo yule muarabu kunyimwa hii timu
Mpaka mumuombe msamaha Ten HagMechi yake ya kwanza kawa nyota wa mchezo.
Hapa ndo naamini hata Ten Hag akipewa Dortmund anaweza kuchukua UEFA.
Nyinyi hamuioni shida ya timu ?unajiuliza shida ya timu yetu ni nini unakosa majibu
Mtasema wachezaji ila ndo hawa hawa wakitoka man u wanaperfom vizuri tuu
Antoninho, MOTM performance vs Athletic clubPositive thing kutokana na mkopo wake ni hivi, Mbappe, Vini, Yamal na wengine wote wapate kujifunza ball kwa Antoninho also known as Masebene
View attachment 3214628
Kuna shida kubwa sana pale unyumbuni ila naona ni mapema sana kusema amorini ni tapeli. Tumpe mudaAmorini ni kocha tapeli
Mechi 14 points 13
Huyu ni tapeli
Bora ETH
Kocha amekazania mfumo mmoja huo huo,huyu ni wale wanafunzi wanaokariri wakibadilishiwa kidogo tu mtihani wanafeliKuna shida kubwa sana pale unyumbuni ila naona ni mapema sana kusema amorini ni tapeli. Tumpe muda
Unadhani kupata mchezaji kama Nwaneri ni sawa na kunnua andazi sioHivi tunashindwa kupata wachezaji kama Nwaneri au Marmoush kweli? Kwenye flanks unamtegemea Gara ambaye akipotezea mali anazurura..hii timu ishakua futuhi sasa
Yaani mashabik wa Arsenal mnajibishana wenyewe kwa wenyewe, mpo sawa kweli?Unadhani kupata mchezaji kama Nwaneri ni sawa na kunnua andazi sio
Boresheni academy yenu kwanza, tumewauzia magarasa mkaanza kuvimba kifua
kwani Amadi hakucheza juzi?View attachment 3226219