Shabani kaoneka anaoneknani ni bondia mwenye stamina kubwa. Naskia alishawahi kumkanda hata Bondia Mwakinyo kwa Knockout,
Sijui ni kwa nini hawampi mapambano.
Ningekuwa mdhamini ninge wapambanisha Shabani Kaoneka na yule Bondia aliyempiga Mandonga kabla ya Kaoneka.
Anaonekana naye ni Bondia mzuri sana.
Pambano lingekuwa la Moto kweli