Mandonga ni fursa ya kufufua boxing, aangaliwe kwa jicho la kibiashara, anapromoti vizuri sana

Mandonga ni fursa ya kufufua boxing, aangaliwe kwa jicho la kibiashara, anapromoti vizuri sana

Shabani kaoneka anaoneknani ni bondia mwenye stamina kubwa. Naskia alishawahi kumkanda hata Bondia Mwakinyo kwa Knockout,

Sijui ni kwa nini hawampi mapambano.

Ningekuwa mdhamini ninge wapambanisha Shabani Kaoneka na yule Bondia aliyempiga Mandonga kabla ya Kaoneka.
Anaonekana naye ni Bondia mzuri sana.
Pambano lingekuwa la Moto kweli
Mabondia wengi ni ngumu kuwafanyia branding, wengi wao displine hawana hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom