Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mie sijawahi kumwamini Mwanamke yoyote hapa Duniani,including my own mother na itakuwa hivyo mpaka naondoka duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astaghafirulahi laadhwiim we mwana wee wajitafutia laana za ukubwani😳😳😳😳😳😳😳.Mie sijawahi kumwamini Mwanamke yoyote hapa Duniani,including my own mother na itakuwa hivyo mpaka naondoka duniani.
sujawahi kufanya...Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisa.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Aisee hii nilivaba kwa toto la kirangi Tabora Nzega 2017.sujawahi kufanya...
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Acha bas kaka."Usimuamini mwanamke yeyote isipokuwa mama yako" hii kauli alinambia bro mmoja alipigwa tukio na mkewe nilolishuhudia yule bro alikuwa muislam pure ila tangu yamkute kwa sasa mlevi mbwa
[emoji23][emoji23] Uongo wangu pendwa. Zamani lkn asa hivi nimekua.Nilikuwa na mama ndio maana sikupokea.
Mbona hili ni la ukweli jamani 😹Baby unajua kufack........
Sasa kama unajua asikwambie? Mkoje nyie wazeeBaby unajua kufack........
Kumbe ni mama wa kiume 🤣🤣🤣Nilikuwa na mama ndio maana sikupokea.
[emoji28][emoji28]imenikuta kwa mwanachuo mmoja eti ananambia nataka we ndio uwe mwanaume wangu wa kwanza, nikajua hapa naenda bikiri mtu. Heeee shenzi mngoni yuleeAisee hii nilivaba kwa toto la kirangi Tabora Nzega 2017.
"Eti sijafanya" ile naingia mchezoni kumbe mtoto hadi mechi za nyuma kacheza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
Ramadhani astagafiru
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji28][emoji28]imenikuta kwa mwanachuo mmoja eti ananambia nataka we ndio uwe mwanaume wangu wa kwanza, nikajua hapa naenda bikiri mtu. Heeee shenzi mngoni yulee
Aaah wapii!!Wanawake tupo real jmn[emoji28] me binafsi nikisema kitu huwa namaanisha hata kama hutaki kuamini..